Afya zao zilikuwa na matatizo na hakuna vifo vinapangiwa foleniKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afya zao zilikuwa na matatizo na hakuna vifo vinapangiwa foleniKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
ngoja kwnza, waziri wa ulinzi alikuwa nani mkuu ??
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nakazia
Mbona wa mwinyi haujasimama na yeye ndo mzee zaidi?Mkapa moyo ulisimama, pengine ni uzee au Covid19. JPM moyo pia haukuwa mzima, ulikuwa umefungwa betri.
Hii komenti inanitafuna aiseh!! KIPINDI kibaya Ndio HIKI tunakoendea!!!dhiki kuu!!Binafsi chuki yangu dhidi ya JPM ilikuwa vifo vya Kina Ben saanane,Azory Gwanda na wengineo hata zile Risasi za Lisu zilinifanya Nimchukie!!!SASA LEO UNAPONIAMBIA ALIHUJUMIWA NASHTUKA SANA!!KAMA KWELI JAMAA ALIHUJUMIWA !BASI KAMA TAIFA TUNAPASWA TUMUOMBE MUNGU MSAMAHA KWA UOVU TULIOFANYA NA TAIFA LITAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA NAAMINI HIVYO!!!
Brain respiratory shutdown!case ZOTE Mbili! de'levisMkapa moyo ulisimama, pengine ni uzee au Covid19. JPM moyo pia haukuwa mzima, ulikuwa umefungwa betri.
There is freedom of speech, but I cannot guarantee freedom after speech.Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Kubalini TU , Corona ilimchukua .Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Muulize Mungu, ukiweza mpigie simu.Mbona wa mwinyi haujasimama na yeye ndo mzee zaidi?
Hakuna aliyebora mbele ya mungu! Kalete records zote za mortuary nchi nzima tuone na wengine waliofuatana!Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Rejea uzi fulani humu. Mkapa aliuawa ili akiuliwa Dkt Magufuli asipatikane wa ku doubt, ingawa naye Mkapa inasemekana alimtanguliza Nyerere ili wachimbe madini, yaani hivi vitu ni vuruguvurugu tupuKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Exactly!Hakuna aliyebora mbele ya mungu! Kalete records zote za mortuary nchi nzima tuone na wengine waliofuatana!
Ukishindwa kamfufue uzikwe wewe
Mbona tokea kampeni alikua amechoka sana, alikua anaingia field siku 3 anapumzika wiki!Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Mbona sasa kipindi mnaambiwa JPM Yuko ICU mlikua mnaitetea serikali kwamba JPM ni mzima wa afya? Ameshakufa ndio mnaanza kutafuta Mchawi!! Siku nyingine msiwe wabishi mkiambiwa ukweli.Rejea uzi fulani humu. Mkapa aliuawa ili akiuliwa Dkt Magufuli asipatikane wa ku doubt, ingawa naye Mkapa inasemekana alimtanguliza Nyerere ili wachimbe madini, yaani hivi vitu ni vuruguvurugu tupu
Mi sijui nimekuambia rejea news fulani humu jukwaani. Hizo ni dots tu. Ila hakuna mwenye uhakikaMbona sasa kipindi mnaambiwa JPM Yuko ICU mlikua mnaitetea serikali kwamba JPM ni mzima wa afya? Ameshakufa ndio mnaanza kutafuta Mchawi!! Siku nyingine msiwe wabishi mkiambiwa ukweli.
Alikufa baada ya JPM sio before, hta mfugale hao wote walimfuata JPM. Then JPM alishachoka tokea kampeni mtu yeyote mwenye akili alijua Hana siku nyingi.Alisimamia Majeshi, alikuwa Mwaminifu, royal to Magufuli. Asingeweza kumsaliti. Ilibidi aondoke, aondelewe.
Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Tuungane Kwa pamoja kama Nchi kuhakikisha tunaandika KATIBA mpya.Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!