BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Wacha weee..kwahiyo mahiga, kijazi, mfugale, kuandikwa nao ni gonjwa hilohilo? Na gonjwa lilipomalizana na hao tu likaisha na kuondoka Tanzania kabisa? Basi gonjwa hatari sana hili doh!
Sasa wewe unataka kusema kitu gani, umesahau kwamba tulikuwa katikati ya janga la COVID-19?
Au kwa vile akili zenu zilipumbazwa na kudhani hilo gonjwa halikuwa hatari sana?
Nenda katafute vipimo vya kitaalam vya hao watu kama hawakuzuia visifanyike uone kama UVIKO haukuhusika katika vifo vyao.
Ninamsikitikia sana Mkapa, lakini asingefanya lolote kuepuka dhahma lililompata. Nampongeza sana Mzee Ruhsa, yeye kwa kudra za Mungu kasavaivu!