Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Kuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!

Ilikua ni mission na ilifanikiwa!

Kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Tag post yake
 
Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?

Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Acha ujinga we hujui kesho yako
 
Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi, wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Kwani hao kina Mfugale na Kijazi walikuwa na nguvu gani kiasi cha kuwa tishio?
 
Kwani hoa akina soka, jackob wana nguvu gani hadi watekwe? Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huachi
Mbona CHADEMA walizuiwa maandamano ambayo hao kına Soka walitaka kushiriki wakawmbiwa wanataka kumuondoa rais madarakani?
 
Back
Top Bottom