Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.

Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Na wale wadini wenzangu tunajiuliza kwanini Marais Wakristo wote walioitawala nchi hii hawako hai lakini Marais Waislam wote wako hai mpaka leo?
 
kuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!

ilikua ni mission na ilifanikiwa!

kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
@Tumiaakili ndu yupi huyo mtag
 
Mwaka mmoja ni dakika chache sana in the grand scheme of things. Wauaji wa Thomas Sankara wamehukumiwa mwaka huu! Kama hakuna aliyehusika na vifo hivyo basi hakuna haja ya wasiwasi, right?
Mshirikina mwingine ni huyu BakiliMuluzi. JPM alikufa kipindi cha covid19 na kibaya zaidi alitawaliwa na mentality za chuki dhidi ya magharibi na masuala yao yote hivyo hata ugonjwa huo akawa anaisikiliza sauti yake ya ndani badala ya kutazama uhalisia upo vipi wa afya yake.

Kwa mtu aliyeishi na chaji moyoni kwa miaka zaidi ya 15 akifanya kazi ngumu za kufufua shirika la ndege na kujenga upya treni mpaka ikafika Moshi asingeweza kuishi kwa zaidi ya miaka 61.

Alifanya kazi ngumu sana usiku na mchana na ziliutesa na kuumiza mwili wake, aliwahi kusema pale bandarini kwamba anazo frustrations zake na siku zote mtu wa aina hiyo ni vigumu kukwepa maumivu ya moyo.
 
Mshirikina mwingine ni huyu BakiliMuluzi. JPM alikufa kipindi cha covid19 na kibaya zaidi alitawaliwa na mentality za chuki dhidi ya magharibi na masuala yao yote hivyo hata ugonjwa huo akawa anaisikiliza sauti yake ya ndani badala ya kutazama uhalisia upo vipi wa afya yake.

Kwa mtu aliyeishi na chaji moyoni kwa miaka zaidi ya 15 akifanya kazi ngumu za kufufua shirika la ndege na kujenga upya treni mpaka ikafika Moshi asingeweza kuishi kwa zaidi ya miaka 61.

Alifanya kazi ngumu sana usiku na mchana na ziliutesa na kuumiza mwili wake, aliwahi kusema pale bandarini kwamba anazo frustrations zake na siku zote mtu wa aina hiyo ni vigumu kukwepa maumivu ya moyo.
Mshirikina mama yako.
 
Hebu tupe report ya waliopumzika kwa amani na wasiopumzika mungu
Kupumzika Kwa amani au kutopumzika Kwa amani depends na maisha Yako uliyoishi ukiwa duniani,kama ulifanya mema utapumzika Kwa amani lkn kinyume chake ni mateso na kusaga meno
 
JPM ilifika siku yake kama itakavyofika ya kwangu na ya kwako.
..alivyombabua Lissu watu walishtuka sana.

..tatizo akazidi kuchanja mbuga kwa kujiingiza ktk michezo michafu ya kudukua mawasiliano ya wenzake.

..hebu fikiria kudukuliwa kwa Membe, Mzee Makamba, na Mzee Kinani.

..hivi ukiwadukua hao watatu uwezekano kwamba hujamdukua na Mzee Kikwete ni asilimia ngapi?

..Na wastaafu wangapi ambao wanataka waishi kwa amani, watu wa vyombo vya usalama, etc nao walikuwa wakidukuliwa?

..Inawezekana watu walichoka kuishi kwa hofu, wakaona wajiongeze, wakamtengeneza jamaa, mwisho wa siku parapanda likalia.

Cc MTAZAMO, Nguruvi3
 
..alivyombabua Lissu watu walishtuka sana.

..tatizo akazidi kuchanja mbuga kwa kujiingiza ktk michezo michafu ya kudukua mawasiliano ya wenzake.

..hebu fikiria kudukuliwa kwa Membe, Mzee Makamba, na Mzee Kinani.

..hivi ukiwadukua hao watatu uwezekano kwamba hujamdukua na Mzee Kikwete ni asilimia ngapi?

..Na wastaafu wangapi ambao wanataka waishi kwa amani, watu wa vyombo vya usalama, etc nao walikuwa wakidukuliwa?

..Inawezekana watu walichoka kuishi kwa hofu, wakaona wajiongeze, wakamtengeneza jamaa, mwisho wa siku parapanda likalia.

Cc MTAZAMO, Nguruvi3
Hahaha parapanda kulia siamini, bado naamini ni mpango wa muumba.

Kuna mtu kasema ukweli utajulikana tu hata kama ni miaka 30 ijayo kama kifo cha Thomas Sankara.
 
..alivyombabua Lissu watu walishtuka sana.

..tatizo akazidi kuchanja mbuga kwa kujiingiza ktk michezo michafu ya kudukua mawasiliano ya wenzake.

..hebu fikiria kudukuliwa kwa Membe, Mzee Makamba, na Mzee Kinani.

..hivi ukiwadukua hao watatu uwezekano kwamba hujamdukua na Mzee Kikwete ni asilimia ngapi?

..Na wastaafu wangapi ambao wanataka waishi kwa amani, watu wa vyombo vya usalama, etc nao walikuwa wakidukuliwa?

..Inawezekana watu walichoka kuishi kwa hofu, wakaona wajiongeze, wakamtengeneza jamaa, mwisho wa siku parapanda likalia.

Cc MTAZAMO, Nguruvi3
Kudukua mawasiliano ilikuwa hatua ya juu sana ya '' Paranoia' iliyoambatana na 'delusions'
Hakuwahi kuwa na Friends hata waliomzunguka leo tunawasikia wakimnanga kikamilifu
Na alifahamu kuwa watu wamechoka vitu vyake visivyo na mantiki, akaanza kutembea na Battalion na magari ya ajabu ajabu. Ile ilikuwa kuogofya watu kwasababu ya anxiety
 
images (45).jpeg
 
Back
Top Bottom