Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Na mie naongezea Wakati mgonjwa kwanini watu wa karibu hawakuwa karibu ndio kwanza Walikimbizana huyu Tanga na Mwingine Ruhangwa?,
 
Sa
Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
Sawa...na Mkapa je!?
 
Nakwambia hivi, kama ulikua hujui ulichoandika ni propaganda ndio mimi nakujulisha sasa. Hiyo corona iue viongozi selectively, tena inner circle tu halafu ipotee ghafla! Mbona wanafamilia wa hawa viongozi waliofariki wasife nao kwa kuambukizwa hiyo corona? Wake zao, watoto zao na ndugu wa karibu ambao ndio wanawauguza kwa karibu iweje wasipate hiyo corona na wao wafe? Unaweza ukaandika propaganda unavyotaka lakini ukweli utakua wazi tu, and very soon.
Mkuu, nadhani huelewi ninachoandika.

Mimi simtetei mtu yeyote hapa, iwe wawepo wanaodhaniwa kuwatungua hao waliotangulia mbele za haki au vinginevyo. Hilo mimi halinihusu kabisa.
Ninachokueleza hapa wewe unakiita "propaganda", kwa sababu huna ulijualo kuhusu gonjwa hilo, ndiyo maana unakazania tuuu, ninapiga propaganda.
Nipige propaganda za nini, kwa faida ipi?

Wewe unayeamini hizo 'conspiracy theory', huku ukiwa huna uelewa wa ugonjwa wenyewe ndiye mwenye matatizo. Inaonekana wewe ni kati ya wale waliokuwa 'brainwashed' na kuamini kuwa ugonjwa huo ulikuwa si chochote; huku mkiona watu wanakufa, bado akili zenu zimejifunga tu!
 
Nakwambia hivi, kama ulikua hujui ulichoandika ni propaganda ndio mimi nakujulisha sasa. Hiyo corona iue viongozi selectively, tena inner circle tu halafu ipotee ghafla! Mbona wanafamilia wa hawa viongozi waliofariki wasife nao kwa kuambukizwa hiyo corona? Wake zao, watoto zao na ndugu wa karibu ambao ndio wanawauguza kwa karibu iweje wasipate hiyo corona na wao wafe? Unaweza ukaandika propaganda unavyotaka lakini ukweli utakua wazi tu, and very soon.
Umeshapiita mwaka bila huo ukweli kusikika, ni imani potofu kuamini kuwa kila kifo kina mkono wa binadamu.
 
Umeshapiita mwaka bila huo ukweli kusikika, ni imani potofu kuamini kuwa kila kifo kina mkono wa binadamu.
Mwaka mmoja ni dakika chache sana in the grand scheme of things. Wauaji wa Thomas Sankara wamehukumiwa mwaka huu! Kama hakuna aliyehusika na vifo hivyo basi hakuna haja ya wasiwasi, right?
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Kila mmoja alimuita mwenzake Kama vile walivyoteuliana
 
Back
Top Bottom