Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
...narejeaUtata uliouona ni upi?
Waziri wa Ulinzi alikuwa na influence gani?Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Hilo lipo bayana japokuwa halitufungi kuhoji vifo vyao hasa ikizingatiwa vilijawa na utata
Atujulishe analojua asituzungushe, tunawaza mengi ajue, ada, sikukuu,Coincidence I think, au ulikuwa unataka kusemaje?
Karibu...narejea
Inafikirisha!
Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Hahahahaha!Atujulishe analojua asituzungushe, tunawaza mengi ajue, ada, sikukuu,
Karibu
Waziri wa Ulinzi alikuwa na influence gani?
Vipi kuhusu CDFVilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Nakuomba ufatilie documentary ya vifo vya ndugu wawili waliokuwa na nguvu kubwa marekani mmoja akiwa Rais huku kaka mtu akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (The Kennedy Brothers) kisha utagundua kuna mambo huwa hayatokei kwa bahati mbayaKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Yaani we jamaa umenifanya nicheke haswa.Kwa maoni yangu Mimi magu alimuua mkapa naye akauawa na corona
Unaandikaga upumbavu......Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Wapo viongozi waliofariki hata baada ya Magufuli, yote juu ya yote baada ya mwendazake tahadhari na mikakati ya kujikinga zidi ya Corona iliboreshwa na kufuatiliwa zaidi.Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.