Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!

Vipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
 
Vipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
Sasa hao wengine "waliuawa:" kwa sababu walikuwa na athari gani na kwa akina nani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM aliuawa kwa sababu alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha? Na unataka kujisahaulisha hata Mpango alipoponea tundu la sindano kwa hiyo hiyo COVID-19?
 
Sasa hao wengine walikuwa na athari gani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha?

Taratibu, ongea taratibu ueleweke.

Covid ipo, ila sio tishio kivile, kusimamisha watoto kuenda shule, Chuoni, shughuli zote za kijami, kazi zote.
 
Taratibu, ongea taratibu ueleweke.

Covid ipo, ila sio tishio kivile, kusimamisha watoto kuenda shule, Chuoni, shughuli zote za kijami, kazi zote.
Endelea kuamini sio tishio lakini wenzako wamechanja, na wale ambao walikuwa wanakejeli chanjo sina haja ya kukukumbusha kilichowakuta!! Na hapa nakukumbusha tena hata Phillip Mpango alitokea dirishani!

Kila mmoja alimshuhudia akiongea akiwa hoi kwa sababu tu ya kutaka kuwananga waliokuwa wanasema amelazwa yupo mahtuti kwa ajili ya corona!! Na wala usijidanganye kwamba siku hizi watu hawafi; wanakufa sana tu!!!
 
Back
Top Bottom