Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Nani amesema habari za lockdown?! Hizo habari za lockdown zilikuwa ni propaganda za wafuasi wa Magu lakini majority wala hawakuwa wakizungumzia lockdown bali

walikuwa wanaitaka serikali kuwa serious na tahadhali! Lakini badala ya serikali kuonesha u-serious, ikawa mara maombi, mara nyungu, mara kikombe cha Madagascar; yaani tafrani! Kama hiyo haitoshi, rais aka-discredit mashine za kupimia ugonjwa, na dada wa watu aliyekuwa anaongoza kitengo, akatumbuliwa eti anatumika na mabeberu! na kuanzia hapo hatukuambiwa tena kuhusu takwimu za status ya ugonjwa!

Wewe unafikiri ni njia gani unaweza kushinda hichi kirusi?

Pia watu waendelee kupata kipato.
 
Na wapo waliomchangia
Namshangaa mkorinto na denial disorder yake!! Ewe Mkorinto, huyu hapa ni nani kama sio Jon Pombe?

Pombe.png
 
Alikuwa akiumwa kitu gani? Mbona siku zile Za uchaguzi alipohutubia Zanzibar kwenye kampeni ya Mwinyi Jr. Kuliwekwa gilasi yenye kinywaji kwenye kimeza pembeni mwa Magufuli ? Video zipo YouTube

Kile kinywaji kilikuwa cha kazi gani?

kwani ile fan ilikuwa ya kazi gani??
 
Wewe unafikiri ni njia gani unaweza kushinda hichi kirusi?

Pia watu waendelee kupata kipato.
Ukweli mchungu ni kwamba kwa sasa kukishinda kirusi ni ngumu kwa sababu wananchi walishajazwa ujinga kwa kiasi cha kutosha na wakajazika! Na hili utaliona hata kwenye chanjo ambazo nazo wale wale waliokuwa wanapinga uwepo wa corona ndo hao hao wakaendeleza propaganda kuonesha ni namna gani hizi chanjo zilivyo na nia mbaya kwetu, na matokeo yake, hata dozi 1M tumeshindwa kuzimaliza!!

Na kwavile tumeshajazwa ujinga, njia za "kidemokrasia" katu haziwezi kusaidia na kwa bahati mbaya ubabe nao haufai kutumika!! Kwahiyo hamna chochote cha maana kinachoweza kufanyika zaidi ya kuendelea kuwakumbusha wananchi kwa msisitizo and with seriousness kwamba this's real!
 
Nje ya mada, hivi haya maji alizindua Magu kwa kuyanywa, yanauzwa mtaani au jeshini pekee? Aliyasifia kuwa ni matamu sana, nataka niyaonje nijue kama ni matamu kweli kama alivyoyasifia.



Naenda uzi wa kubeti, ukiwa na taarifa hayo maji yanauzwa wapi, unifuate huko kunipa jibu.
Kwa hyo mkuu inaonekana kazi ilianzia hapa??
 
Sasa kinachokufanya utukane?! Hivi mpumbavu ni nani kati yangu na wewe unayebisha kilicho dhahiri?! Umekosa jibu unaanza matusi? Au ndo unataka kuonesha level yako ya upumbavu>?

neno mpumbavu sio tusi,ni wasifu kama nikikwambia fulani wewe ni mfupi ama mrefu.
 
Back
Top Bottom