Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Acha kudanganya watu wewe! Magu kamwingilia kiongozi gani?! Hivi mbali na ku-deal na baadhi tu ya wafabiashara, JPM aliwahi kumshughulikia kiongozi yeyote yule?! Kama yupo, mtaje hapa manake sie tunaofuatilia mambo mara kwa mara tulikuwa tukimsikia akisema "...waacheni wazee wapumzike"! Na hadi ametoka, hakumgusa kiongozi wa chama wala serikali!!
Daah ulivyoanza sentensi ya mwanzo kwa mkwala nikajua wajua mengi kumbe waungua na jua tuu [emoji13][emoji13]
 
Kifo ni kifo, wote tutapita hapo. Ila Mazingira ya kupita hapo lazima yachunguzwe kwa viongozi wakuu, wakubwa.
Wewe ndio unahangaika na hilo japo halina msingi, mtu ameshakufa amekufa tu na wewe ndio unajua hayo ya huyu sijui alikuwa mtu mkubwa lakini Mungu yeye hajui hayo, kwake nafsi zote ni sawa.
 
Wewe ndio unahangaika na hilo japo halina msingi, mtu ameshakufa amekufa tu na wewe ndio unajua hayo ya huyu sijui alikuwa mtu mkubwa lakini Mungu yeye hajui hayo, kwake nafsi zote ni sawa.

Ongea taratibu, kiutulivu, ueleweke.
 
Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?

Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Rubbish.
 
Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..

Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Inawezekana baada ya kufa hatua zilianza kuchukuliwa
So adui akashindwa,
Ilikua ishu ndogo tu yaani ni kukubali tu dunia inavyokwenda full stop
Huwezi kushindana na wakubaa siku zote
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Aisee
tapatalk_1575284121254.gif
 
Je kuna tofauti gani kama mimi na wewe tutakimbia mbio sawa za 100 m ×4 ila wewe mimi nikapumzika mara moja ila wewe ukapumzika mara 4 kila baada ya 100m?
 
Back
Top Bottom