Watu waovu mungu huwaondoshaKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu waovu mungu huwaondoshaKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Ukweli mchungu ni kwamba kwa sasa kukishinda kirusi ni ngumu kwa sababu wananchi walishajazwa ujinga kwa kiasi cha kutosha na wakajazika! Na hili utaliona hata kwenye chanjo ambazo nazo wale wale waliokuwa wanapinga uwepo wa corona ndo hao hao wakaendeleza propaganda kuonesha ni namna gani hizi chanjo zilivyo na nia mbaya kwetu, na matokeo yake, hata dozi 1M tumeshindwa kuzimaliza!!
Na kwavile tumeshajazwa ujinga, njia za "kidemokrasia" katu haziwezi kusaidia na kwa bahati mbaya ubabe nao haufai kutumika!! Kwahiyo hamna chochote cha maana kinachoweza kufanyika zaidi ya kuendelea kuwakumbusha wananchi kwa msisitizo and with seriousness kwamba this's real!
Endelea kuamini hakuwa anaumwa ewe mpumbavu, na mjadala unaishia hapa!neno mpumbavu sio tusi,ni wasifu kama nikikwambia fulani wewe ni mfupi ama mrefu.
Hupaswi kusikilizwa kwa sababu wewe umechanja hata kama utasingizia umechanja kwa sababu ya kusafirisafiri lakini haiondoi ukweli kwamba UMECHANJA, na hupaswi kusikilizwa kwa hayo uliyosema!!! Lakini kwa upande mwingine, issue sio magonjwa bali pandemic disease! Ndo maana UKIMWI pamoja na kutisha kwake kote bado hakuna popote duniani walipozuia wananchi wa mataifa mengine au kuzuia watu kusafiri kwa sababu AIDS isn't pandemic disease!Magonjwa mengi yametokea duniani. Yakaisha.
Tupunguze hofu, tualingalie afya zetu, tunakula mboga, matunda, tunafanya mazoezi, hatuna stress nyingi kichwani kwetu
SanaInafikirisha!
Hupaswi kusikilizwa kwa sababu wewe umechanja hata kama utasingizia umechanja kwa sababu ya kusafirisafiri lakini haiondoi ukweli kwamba UMECHANJA, na hupaswi kusikilizwa kwa hayo uliyosema!!!
Mipango ya Mungu.Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Ina maana wakitajwa wanahangaika huko walipo?Tuwaache wapumzike kwa amani
The point is clear unless you don't want to accept it!Tulia,andika kwa utulivu, ueleweke. What is your point?
Hupaswi kusikilizwa kwa sababu wewe umechanja hata kama utasingizia umechanja kwa sababu ya kusafirisafiri lakini haiondoi ukweli kwamba UMECHANJA, na hupaswi kusikilizwa kwa hayo uliyosema!!! Lakini kwa upande mwingine, issue sio magonjwa bali pandemic disease! Ndo maana UKIMWI pamoja na kutisha kwake kote bado hakuna popote duniani walipozuia wananchi wa mataifa mengine au kuzuia watu kusafiri kwa sababu AIDS isn't pandemic disease!
Ongezea na Lwajabe,Mengi ,shekh Bura ,,na yule injinia pedeshee alaiyefia Afrika kusini..Ongezea vya Maalim Seif, Kijazi, Mfugale, Mahiga, Kuandikwa na wengi wengine list ni ndefu.
Umejuaje kuna aliokuwa anawaua? Au wewe ndiye alikuwa anakutuma kwenda kuwaua?Na aliowaua nao walikosea Nini kwenye Nchi???
The point is clear unless you don't want to accept it!
1. Umechanja
2. It's not about disease but pandemic disease!
Sasa huwezi kusema watu waache hofu wakati wewe tayari umeshachanja lakini unataka kuaminisha watu kwamba umechanja kwa sababu tu ilikuwa lazima uchanje ili kupata uhalali wa kusafiri lakini hilo haliondoi ukweli kwamba umechanja, na unaowaambia wasiwe na hofu hawajachanja!
Kwamba, duniani magonjwa mengi yamepita, yes, upo sahihi lakini kama nilivyosema issue sio ugonjwa bali ugonjwa wa mlipuko na unaonea kwa kasi! Ni kutokana na hilo ndo maana ingawaje malaria inaua sana lakini huwezi kukuta taifa lolote likichukua extra-ordinary measure kama lockdown or distancing ili kudhibiti malaria kwa sababu malaria isn't pandemic! Ndo maana pamoja na UKIMWI kutisha kote, lakini ndege hazikuwahi kufuta safari zake duniani eti kisa kuna UKIMWI kwa sababu AIDS isn't pandemic disease!! Kwahiyo ni sawa kabisa magonjwa mengi yamepita lakini mengine hayakuwa pandemic, na yalipotokea pandemic diseases, hata hayo yaliyopita hali ya
tahadhali ilichukuliwa kama ilivyo sasa!
Huwa wanapumzika? Yule dogo aliyekufa 4 yrs ago na kuibuka majuzi akiwa hana ulimi kadai hakuna kupumzika huko [emoji12][emoji12]Tuwaache wapumzike kwa amani
daah huu uchocheziKifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Ulikuwa wapi hukuchangia kumlinda asiuawe?Kikubwa ni kuwa Magu aliiweza hii nchi, na angeendelea tungefika mbali sana kwasababu ya misimamo yake, waliomuua wameikosea sana nchi hii, tatizo wabongo hawapendi kubadirika au kukosolewa
Basi tufanye yaishe asiwepo mwenye kutuhumiwa juu ya kifo chake km tulivyokubaliana tuwaache wapumzikeUmejuaje kuna aliokuwa anawaua? Au wewe ndiye alikuwa anakutuma kwenda kuwaua?
Ila tukubaliane kila afae lazima iwepo sababu ya kifo chake, ama ugonjwa, vitani, ajali, sumu n.k.Basi tufanye yaishe asiwepo mwenye kutuhumiwa juu ya kifo chake km tulivyokubaliana tuwaache wapumzike
Wape tamaa wanaolia Na magu , labda naye yupo amekatwa ulimi 😛😛😛😝😝Huwa wanapumzika? Yule dogo aliyekufa 4 yrs ago na kuibuka majuzi akiwa hana ulimi kadai hakuna kupumzika huko [emoji12][emoji12]