Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..

Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.

Mkuu kina Mfugale, Waziri Kuandikwa, Profesa Mutabaji, Keenja & Mkewe, Prof. Mbwette, Luhanga na wengi wengine (wapumzike kwa amani) wote wameondoka mfululizo na kwa kufuatana baada ya jiwe.

Usisahau pia hii ngwengwe ina ka wavelength wataalamu wakikaita Lambda (λ)
 
Kazi ya Mungu haina makosa. Walikufa akina Kijazi, Maalim, Mahiga, ndugu zetu, wazazi, nk. Sijui kwa nini unafikiri Mkapa na Magufuli tu ndio wamefuatana? Mbona Mkapa pia alimfuata Nyerere? Na wao pia waliwafuata wazazi wao? Msipokufa siku dakika na sekunde moja ni lazima mfuatane.
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.

Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
 
Kweli mwili wake ulipambana kweri kweri na kumshinda corona...
JPM aliona mbali, hauwezi kuishinda Corona by lockdowns, chanjo pekee kuwafungia watu.

Virus anabadilika kila baada ya muda fulani, lakini pia natural immune system ya kila mtu, mwenye afya binadamu inapambana na kuua virus, bacteria.

Ni hivi kuna polisi,majeshi,vikosi vya ulinzi na usalama ndani ya mwili wako. Vinapambana kukulinda kila siku.
 
Mbali na kufuatana kwa vifo vya viongozi hawa, nimekuwa nikijiuliza tu kwa nini tangia hapo wanaotangulia mbele za haki ni maraisi wa upande wa pili wa Imani ? Kuna uhusiano gani wa maisha marefu ya Marais wastaafu waliopo hai na Imani Yao?
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Binafsi chuki yangu dhidi ya JPM ilikuwa vifo vya Kina Ben saanane,Azory Gwanda na wengineo hata zile Risasi za Lisu zilinifanya Nimchukie!!!SASA LEO UNAPONIAMBIA ALIHUJUMIWA NASHTUKA SANA!!KAMA KWELI JAMAA ALIHUJUMIWA !BASI KAMA TAIFA TUNAPASWA TUMUOMBE MUNGU MSAMAHA KWA UOVU TULIOFANYA NA TAIFA LITAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA NAAMINI HIVYO!!!
 
Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Vyovyote ilivyotokea nchi yetu ilishangilia tarehe 17/3/2021
 
Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Kwa hiyo Corona haihudiki? Tuweni wakweli. Tulijidai hakuna Corona. Kati Yao ambaye sijaelewa kama alikuwa na Corona ni Mfugale. Waliobaki wote tuulize Uviko 19.
 
Back
Top Bottom