ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Vichwa vya sangara??
Kwa sasa unaweza kuwapa jina lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichwa vya sangara??
atumiwa corona kama sababu
Sato,upo madarakani kwa sasa.Vichwa vya sangara??
Hakina kitu kisichowezekana duniani.Hivi hili linawezekana kweli, halafu ikatumiwa corona kama sababu?
Kwa hiyo alitangulizwa mkapa ndio magufuli akafuata? Influence ya mkapa ilikuwa ipi ilihali alikuwa mstaafu kama kikwete tu?
Tuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
JPM aliona mbali, hauwezi kuishinda Corona by lockdowns, chanjo pekee kuwafungia watu.
Virus anabadilika kila baada ya muda fulani, lakini pia natural immune system ya kila mtu, mwenye afya binadamu inapambana na kuua virus, bacteria.
Ni hivi kuna polisi,majeshi,vikosi vya ulinzi na usalama ndani ya mwili wako. Vinapambana kukulinda kila siku.
Mwulize Bashiru Ally huko migombani. Vifo vinafuatana kwenda wapi?
Wewe hujui nini maana ya baba na mtoto.labda na siasa hujui kiundaniKwa hiyo alitangulizwa mkapa ndio magufuli akafuata? Influence ya mkapa ilikuwa ipi ilihali alikuwa mstaafu kama kikwete tu?
Labda ubaya wa rohoKuna mwingine aliuliza kwa nini maraisi wastaafu wakristo wote wamekufa?
YuKo wapi?kuna mtu anaitwa tumia akili, jaribu kufuatilia nyuzi zake!
ilikua ni mission na ilifanikiwa!
kwa mujibu wa huyu jamaa hawa viongozi waliobaki ndio wazalendo wapenda nchi.
Useme ulipo , au nyie ndio hamtaki kulisaidia taifa🤔.Utata mwingi tu liache hivo hivo
Kwendraaaaaa zakoLabda ubaya wa roho
Binafsi chuki yangu dhidi ya JPM ilikuwa vifo vya Kina Ben saanane,Azory Gwanda na wengineo hata zile Risasi za Lisu zilinifanya Nimchukie!!!SASA LEO UNAPONIAMBIA ALIHUJUMIWA NASHTUKA SANA!!KAMA KWELI JAMAA ALIHUJUMIWA !BASI KAMA TAIFA TUNAPASWA TUMUOMBE MUNGU MSAMAHA KWA UOVU TULIOFANYA NA TAIFA LITAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA NAAMINI HIVYO!!!Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Vyovyote ilivyotokea nchi yetu ilishangilia tarehe 17/3/2021Mkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Kwa hiyo Corona haihudiki? Tuweni wakweli. Tulijidai hakuna Corona. Kati Yao ambaye sijaelewa kama alikuwa na Corona ni Mfugale. Waliobaki wote tuulize Uviko 19.Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.