Mjadala huru: Kwanini vifo vya Mkapa na Magufuli vilifuatana?

Duh!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Vijana bhana mmekosa kazi... Unavosimulia Sasa unaweza hisi alikuwa pembeni anashuhudia nae kumbe vistory vya magengeni
 
Mtu akishakufa amekufa, kwa nini kafa wakati huo ni Mungu ndiye ajuaye, wewe ulitaka wafe lini na wewe ni nani hadi upingane na Mungu aliyewaleta duniani.

Very senseless comment.

Kifo ni kifo, wote tutapita hapo. Ila Mazingira ya kupita hapo lazima yachunguzwe kwa viongozi wakuu, wakubwa.
 
Nimefuatilia mjadala, na nashawishika kusema ni Sexless ndie bila shaka amemwelewa mleta mada vizuri sana kwamba they're in denial! Nami nasisitiza, ni upumbavu hata kufikiria let alone kuamini eti JPM kauawa!! Mtu kaanza kuumwa moyo hata kabla hajaingia kwenye siasa halafu leo mtu uamini kuna mkono wa mtu!! Yaani watu kwa ujinga tu wanataka kuaminishana JPM alikuwa threats kwa watu na ndo maana wamemwondoa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…