Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Vitu ambavyo unaweza kuacha kwa hiari

1. DHAMBI
2. POMBE
3. SIGARA
4. UMALAYA
5. BANGI
6. NK

Lakini so PUNYETO ndugu, nyeto ni kama CCM haiepukiki ispokuwa unaweza kustaafu kwa muda mrefu kutokana mazingira utakayokuwepo.

Ukitaka kustaafu kwa muda mrefu tafuta msichana ambae anapenda kufanya mapenzi mara kwa mara, hapo utastaafu hadi pale mtakapoachana then unarudi kwenye chama kukutana na wanachama wapya
hahabahahahah umemaliza kila kitu
 
Habari ndugu zangu Leo Nina jambo nahitaji ushauri wenu wa kisaikolojia jambo lenyewe ni Punyeto yaani Punyeto imekuwa Punyeto imefikia wakati sasa kila siku lazima nitumie picha kutoka Instagram za wadada wanaovaa nguo za utupu kupiga punyeto sana sana wasanii na wengineo .Ninaye mpenzi ninayempenda na huwa tunafanya mapenzi lakini nikiachana naye tu lazima nipige punyeto tena hapo ndo natosheka zaidi.Naomba msaada wenu katika hili.
 
Habari ndugu zangu Leo Nina jambo nahitaji ushauri wenu wa kisaikolojia jambo lenyewe ni Punyeto yaani Punyeto imekuwa Punyeto imefikia wakati sasa kila siku lazima nitumie picha kutoka Instagram za wadada wanaovaa nguo za utupu kupiga punyeto sana sana wasanii na wengineo .Ninaye mpenzi ninayempenda na huwa tunafanya mapenzi lakini nikiachana naye tu lazima nipige punyeto tena hapo ndo natosheka zaidi.Naomba msaada wenu katika hili.
Pole sana hili gemu linachezwa kwa makin ukiruhusu likuzoee utajuta... Kwa kifupi huna tofauti na mvuta bangi au mtumia madawa...

Hiki ni chama kinachoongoza kwa usiri baada ya freemason...

Dogo badilika haraka iwezavyo...
 
Lakini ni wale tu wanaokaa uchi na mda mwingine usiku naota Niko nao hadi napiz mwenyewe sasa sielewi ni kitu gani kinanisumbua ningependa kupata ushauri wa namna ya kutatua hili tatzo.
Mkuu,hongera saana,maana hao wasanii kuwapata siyo rahisi,ila wewe unawapiga burebure!
 
Mkuu,hongera saana,maana hao wasanii kuwapata siyo rahisi,ila wewe unawapiga burebure!
Ila tuachane tu na wasanii maana hawana utofauti na wasichana wengine sabosabo tujikite kwenye ushauri wa namna ya kuondokana na tatzo la punyeto
 
Ila tuachane tu na wasanii maana hawana utofauti na wasichana wengine sabosabo tujikite kwenye ushauri wa namna ya kuondokana na tatzo la punyeto
Mkuu pole saana,nilikua nazingua tu,ila naamini kuna wataalamu hapa watakupatia ushauri mzuri!
 
Back
Top Bottom