Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Toka siku nilianzakutia akili hiyo kitu kuifanya siitaki hata kuiona au kumuona mwenzangu anafanya huwo mchezo. Pole munaofanya huwo mchezo.
 
Kwasisi wengine tumeanzia zamani sana, na hivi sasa tuna wake na watoto lakini tunakimbiza mwenge
Hongera Basi Hiyo Ni Tabia Sugu ya Kuzaliwa Nayo Naimani kuna mtt wako Naye Amebeba Silka Zko za Punyeto

@m G00d Br0ther
 
Hongera Basi Hiyo Ni Tabia Sugu ya Kuzaliwa Nayo Naimani kuna mtt wako Naye Amebeba Silka Zko za Punyeto

@m G00d Br0ther
Uzuri ni kwamba tabia zozote ambazo baba umepitia ikitokezea kama mwanao nae anataka kupitia utajua tu na kujua ni namna gani utaweza kumsaidia na kumuepusha asiendelee nazo.

Leo hii baba ambaye alipokuwa kijana alivuta bangi anajua vishawishi vipi alikutana navyo hadi kujiingiza kwenye tabia hiyo na vile vile mwanawe anapojiingiza kwenye tabia hiyo, basi atajua ni namna gani ya kumsaidia kumtoa.
 
Uzuri ni kwamba tabia zozote ambazo baba umepitia ikitokezea kama mwanao nae anataka kupitia utajua tu na kujua ni namna gani utaweza kumsaidia na kumuepusha asiendelee nazo.

Leo hii baba ambaye alipokuwa kijana alivuta bangi anajua vishawishi vipi alikutana navyo hadi kujiingiza kwenye tabia hiyo na vile vile mwanawe anapojiingiza kwenye tabia hiyo, basi atajua ni namna gani ya kumsaidia kumtoa.
Alibakari Mkuu Sifahamu historia Yako but Vip Wazazi wako Unahisi Wanafahamu or walifahmu hii Tabia Yako Sugu ya Punyeto???

"Moyo wa Mtu Kichaka"

@m G00d Br0ther
 
Alibakari Mkuu Sifahamu historia Yako but Vip Wazazi wako Unahisi Wanafahamu or walifahmu hii Tabia Yako Sugu ya Punyeto???

"Moyo wa Mtu Kichaka"

@m G00d Br0ther
Hata kama walifahamu naamini kwenye watu wazima wawili hakiharibiki kitu, Naamini walifahamu kwani hata magodoro home niliwahi kuyatoboa na kutengeneza papuchi[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] ila hapo hapo naamini walijua kuwa mtoto wao tayri nimekua.
 
Rahisi Sana.
Kwanza Kataa kabisa kwa dhati.
Anaandaa group la what's app walioathirika na punyeto
 
Ukitaka kuacha Kuwa na Demu ambaye anakupa mambo mda wowote ukitaka na Kwa wasichana msipende kuwabania Waume zenu mambo hata Kama uko breed
 
Huwezi kuacha punyeto akati ulishakua loyal, kukaa miaka 5 au 10 bado sio kipimo,,, subirini siku mkibanwa vizuri ndo mtajua...Mwaka 2001 nlisemaga naacha hio kitu ila mpk leo, na sio lazima hata kusugua na mkono, niko stage ambayo nikiangalia tu dushe na kuimagine kama dakika 5 wazungu haoooo....Tembeeni mpate mbinu mpya, uone kama hujajilaumu kupiga nyeto kwa 18 yrs kwa mkono tu...
 
Uzuri wa Nyeto una ajast unavyotaka
Ukitaka bikira ukitaka kubwa ukitaka yenye maji ukitaka kavu
Hii kitu ina starehe yake wakuu
Huu ni ukweli usie kwepeka
Nauhakika kuwa hakuna kijana aliobaleghe hakupitia bafuni kupiga nyeto
Kama yupo aliobaleghe na hakuwahi kupiga nyeto hata mara moja,basi huyo atakuwa shoga
 
Back
Top Bottom