Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
HUYU... ana kadi namba ngapi ya CHAPUTA??? maana hii ITIKADIII,,, Diiihkijana kama ukiacha nyeto yatakukuta madhara makubwa tu
ukimwi unakusubiri uache nyeto
hela zako hazitakuwa salama ukiacha nyeto
mzee ina maana NYETO huachi?Hadithi za kusadikika hizi
Wewe ni mwanaume?mie sijawahi kupiga nyeto mzee
Wewe ni mwanaume?
Kama haujawahi hizi mbinu ulijaribu kwa nani?
Tangu nimeoa nimehacha maana nilikua nshakua teja wa nyeto nakumbuka kuna siku nilikua napiga nyeto nikiwa kwenye daladala bahati nzuri skufanikiwa kumimina mzigo .sjui ningetembea vip siku nyingine nikawa napiga nmekaa kwenye kitanda kumbe jamaa zangu wananipimia dirishani walicheka sana .ndo nikastuka mpaka leo wife akisafir wiki moja lazma nipige
kwa Wale walio athirika na huu Ushenzi.. njia rahisi nii hii hapa
nilimshauri Mwenzenu akafuata hii njia leo hii Ananishukuru,
Tenga siku 7 Bila kupiga nyeto..
(usiangalie picha za uchi/wala kushikana shikana na mwanamke ukiwa unajua huwez kumlala/epuka story za mapenzi zilizo kithiri/LEFT magrp yote ya whatsapp yanayojihusisha na mambo ya 18+)
ukifanikiwa kufika siku 7... futa kichwani.. anza tena (endelea) siku 7 zingine..
jumla utakuwa na siku 14... hapa Ubongo unakuwa katika recovery mode..
fanya tena huo mzunguko hadi ufikie siku 14 zingine...
(kaa chini.. omba mungu wako akuepushe na hako kamchezo... jiongezee imani na ujasiri kwa kutafakari kuweza kumudu siku nyingi bila PUNYETO)
malizia siku zingine kama kawaida.. na kama una DEMU nenda kasawazishe MATUTA na kama hauna basi kausha..
ukifanya hivyo... PUNYETO UNAISAHAU kabisa...
NB;MTU ALIYEKUWA NA MAZOEA YA KUPIGA PUNYETO ALAFU AKAWEZA KUACHA KABISA KUPIGA PUNYETO huyo mtu huwa na UPEKEE kunako 6x6.. pia mtu huohuyo anapata MIZUKA sana pale anapokutana na real INSTRUMENT...
Hakuna njia rahisi ya kuacha puchu zaidi ya kujua dhambi za kupiga puchu (hofu ya mungu) mengine tutadanganyana kuna watu mpaka wameathirika na puchu ila bdo hawaachi tumuombe mungu sana ktk hili
hauna demu kaka.. mbn wapo wengi kuliko wanaume.. yaan hata wanaume tuwe na wanawake 10.. kila mmoja bado watabaki wengineNgoja na mim nijaribu,maana huwa nikiacha napiga mabao sana ndotoni.
hahaha... chamsingi uendeleze kampeni au ununue wanachama kama JIWE avyofanyaMimi kama mwenyekiti wa CHAPUTA naomba mod wafute uzi haraka iwezekanavyo kabla sijapoteza wanachama wangu
Wanachama wangu kama freemason hawaonekani ila kadi zangu zinasambaa na kuisha huku store. Nikianza na kununua kama jiwe nita-conquer dunia sasahahaha... chamsingi uendeleze kampeni au ununue wanachama kama JIWE avyofanya
we kazi yako unanunua.. watu kama sisi maadui ya ustawi wa chaputa.. hahah.. ila mjiandae fainali uzeeniWanachama wangu kama freemason hawaonekani ila kadi zangu zinasambaa na kuisha huku store. Nikianza na kununua kama jiwe nita-conquer dunia sasa
Usitutishe Usitutishe wanachama wa CHAPUTA (maalim Seif's voice)we kazi yako unanunua.. watu kama sisi maadui ya ustawi wa chaputa.. hahah.. ila mjiandae fainali uzeeni
Kaka emb fungua thread ya watu wa Chaputa nije niwashuhudie.. memba wakeleketwaUsitutishe Usitutishe wanachama wa CHAPUTA (maalim Seif's voice)
hayo.. yake.. sas.. sijamfatilia.. leo ngoja nimjalibu kumuuliza maswali ya uchokozi nione atanijibu nini.. ila atakuwa ameacha maana ni mwelewa sanaMkuu,huyo jamaa yako ameacha kwa muda lkn soon atarudi tu!
Sasa kama kaathirika anawezaje kuendelea nayo ilhali kifanyio hakifanyi kazi. Halafu umuombe Mungu kuacha nyeto halafu unaenda kuzini? Naona kama mawazo yako yana walakini?Hakuna njia rahisi ya kuacha puchu zaidi ya kujua dhambi za kupiga puchu (hofu ya mungu) mengine tutadanganyana kuna watu mpaka wameathirika na puchu ila bdo hawaachi tumuombe mungu sana ktk hili