Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Aisee...dunia ina mambo.sasa nahisi mapepo mengine yanakΓΉla kama nguruwe.kila dakika mtu unapiga bao.unajikuta umepiga mpaka 8 kwa siku.duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sisi tuliopiga master B kwa miaka zaidi ya 15 tunakomenti wapi?
Jisikie huru, ukiwa free utakuwa free ktk kila sector.
Matangazo ya wauza dawa za kuongeza nguvu za kiume yamekuathiri.
Punyeto haina madhara na wala si pepo
Bwana weee...!watu tumeanza mwaka 1997 huko.tumeoa lakini haijasaidia kitu.@mshana jr ana point nimeinasa.mimi nitajaribu kuoga hayo machumvi nione itakuwaje...this is too much..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wenzio wana miaka 29 wanaomba kuacha.

Kwa hyo wewe una miaka 9 mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jitathmin...

kwa siku unapiga nyento ngapi?

kama unapiga mara5 jitahidi uongeze idadi hata ikiwezekana piga mara8 mpaka mara10

kila siku piga hadi mwisho,kama vile unalipwa

automatically pale utakapoishia hutatamani kupiga tena
 
Endelea kupiga nyeto TUMIA NZI MKUU KAMATA NZI WEKA KWENYE RAMBO.INGIZA MASHINE WATATEKENYA MPAKA UPIGE GOLI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…