Daah pole mkuuBro acha hii tabia itakuja ikuletee shida mi mpaka najuta kwanini niliifanya saivi mbegu zangu za kiume zina shida nimeshindwa hata kutungisha mimba, nahangaika kutafuta dawa kuzirejeshea ubora wake
Yan unapiga nyeto uku umefunga auNiliachaga kabisa ila kutokana na mfungo
Na nimejikuta narudia iyo hali
Kweli Nakubaliana Na Wewe, Punyeto Inafanya Mb*o Kuwa NdogoKuacha hii kitu ni gharama kubwa sana... inabidi utenge fungu nono
Kwa siku za mwanzo inabidi uhakikishe hazipiti siku mbili bila kula mbususu, iwe ya kununua au ya dem wako ila hakikisha huvushi siku 2 bila sex
Baada ya kama wiki 2 za kula mbususu mfululizo sasa unaweza kuongeza gap, angalau ule mbusus mara moja kwa wiki...Itafika kipindi mentally kichwan utaona mbususu ni nzuri kuliko nyeto
Nina miezi mi 5 mpk sasa sijapiga nyeto na kila siku nashinda telegram lakin nimeweza kujicontrol, ni bora upoteze hela kwa kununua malaya kuliko kupoteza hela kutibu tatizo la kutosimamisha au nguvu za kiume
Ni hayo tu [emoji847]
Nakazia[emoji4][emoji106]Kuacha hii kitu ni gharama kubwa sana... inabidi utenge fungu nono
Kwa siku za mwanzo inabidi uhakikishe hazipiti siku mbili bila kula mbususu, iwe ya kununua au ya dem wako ila hakikisha huvushi siku 2 bila sex
Baada ya kama wiki 2 za kula mbususu mfululizo sasa unaweza kuongeza gap, angalau ule mbusus mara moja kwa wiki...Itafika kipindi mentally kichwan utaona mbususu ni nzuri kuliko nyeto
Nina miezi mi 5 mpk sasa sijapiga nyeto na kila siku nashinda telegram lakin nimeweza kujicontrol, ni bora upoteze hela kwa kununua malaya kuliko kupoteza hela kutibu tatizo la kutosimamisha au nguvu za kiume
Ni hayo tu [emoji847]
Time will tell mkuu, hii kitu sio nzuri...Nilikua mfuasi wa punyeto ila baada ya kuacha naenjoy sex zaidi tofauti na hapo nyumanyie wenzangu hiyo punyeto imewafanyaje...na huwa mnaipigaje...mbona mimi naipiga show pia napiga ya kibabe na ndio siiachi ng'oo na huwa naitumia kama mbinu ya kivita...mwanamke akinikataa naipiga...mwanamke akinililia shida naipiga...nikisha piga tu naghairi kumsaidia huwa sipendi mambo ya kipuuuuzi kabisaaaa
Hizi porn videos zinachochea Sana upigaji wa nyetoHakikisha hauangalii video za ngono hata kwa bahati mbaya punguza kula vitu kama karanga mbichi na vitu vyenye vichocheo kama hivyo
Hakikisha haukai zaidi ya wiki mbili bila kumkanda mtu
Mimi ni mmoja kati ya watu niliyefaulu kuachana na huo ujinga
Katika kipindi cha miaka kumi kama nimefanya huo mchezo haifiki hata mara kumi
Ukipiga hesabu la ngoma, unaona nyeto ni mkombozi.Kila kitu kina faida na hasara...
Pima faida na hasara za punyeto alaf utapata jibu..
Note: kama hujaugua Magonjwa ya Ngono.. (kaswende... Gono.. etc) utaona punyeto si nzuri......
Haya
Itakuwa shida haikuanzia huko.Bro acha hii tabia itakuja ikuletee shida mi mpaka najuta kwanini niliifanya saivi mbegu zangu za kiume zina shida nimeshindwa hata kutungisha mimba, nahangaika kutafuta dawa kuzirejeshea ubora wake
Pole sana ndugu cha msingi jikeep bize hautapata nafasi ya kujijua tena be social kwa kijiji chako usikae peke yako pia futa application au magroup ya chating za ngono hasa telegram ina hamashisha sana kuwaangalia wa kina Mamu mtamu πππ na wengineo .Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, nimenza kujichua tangu nikiwa na umri wa miaka 16, mpaka sasa naenda kutimiza miaka kumi na hii tabia.
Nimejaribu njia nyingi sana ku control hii hali isitokee, na hivi imenithiri inafika mida hata nikiwa napiga mzigo mashine haisimami imara kama nilivuokuwa mwanzo, nina maumivu kwenye mishipa ya korodani lakini naacha hata siku nne nyingi nikirudi hapo ni mfululizo, nimeleta kwenu ili nipate msaada wa kitaalamu naondokana vipi na huu uraibu, maana nimeshakuwa teja.
Msaada wandugu
Haha kama ulikuwa umeahidi pesa unabadili gia angani[emoji16][emoji16]nyie wenzangu hiyo punyeto imewafanyaje...na huwa mnaipigaje...mbona mimi naipiga show pia napiga ya kibabe na ndio siiachi ng'oo na huwa naitumia kama mbinu ya kivita...mwanamke akinikataa naipiga...mwanamke akinililia shida naipiga...nikisha piga tu naghairi kumsaidia huwa sipendi mambo ya kipuuuuzi kabisaaaa
Oa, narufia tens OAMimi ni kijana wa umri wa miaka 25, nimenza kujichua tangu nikiwa na umri wa miaka 16, mpaka sasa naenda kutimiza miaka kumi na hii tabia.
Nimejaribu njia nyingi sana ku control hii hali isitokee, na hivi imenithiri inafika mida hata nikiwa napiga mzigo mashine haisimami imara kama nilivuokuwa mwanzo, nina maumivu kwenye mishipa ya korodani lakini naacha hata siku nne nyingi nikirudi hapo ni mfululizo, nimeleta kwenu ili nipate msaada wa kitaalamu naondokana vipi na huu uraibu, maana nimeshakuwa teja.
Msaada wandugu