Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaWewe unaonyesha unaweza ukaenda kuchukua kadi cha CHAPUTA tena
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] kona za nii mkuuWanatumia hadi kona za makochi, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna watu wameoa lakini nyeto kama kawaKwanza epuka porn....halaf uanze kwa kujipa interval mfano unasema sasa nakaa wiki 2 bila kupiga then mwezi mwisho unaacha kbs...na muhimu uwe na mpenzi ambae anakupa huduma angalau hata mara 1 kwa wiki
Kuna watu wameoa lakini nyeto kama kawa
bila shaka unalosemadah kuna ukweli hapa isee
Ovatar yako na coment yako ni ukweli mtupu ulichosemaMe sijaacha sasa natumia grisi kupigia minyeto. [emoji23] [emoji1]
Eti 10years miaka hiyo tuu?Kiukweli nyeto ni tamu sana ila ni haramu na inagharimu sana kuacha kwa wale waliokubuhu kama mimi,
Binafsi ninazaidi ya 10yrs nimejaribu kuacha nmeshindwa hii kitu ni tamu jaman sijui ni kwangu tu embu nambien ndugu zang nifanye nn ili niache, ni tamu lakin nata kuiacha kabisa, bora hata ningekuw nmefundishwa na mtu ningemtafuata anifundishe kuiacha, najuta sana kuijua mwenyew nakosa hata wa kumlaumu.
Msaada ndugu zangu nataman mwaka huu iwe ndo mwisho wa Mimi kupiga punyeto.
Hapana sababu kwa sasa namiliki papuchi za kutosha ila nikikaa bila kupata papuchi muda mrefu nitarudi chaputaWewe unaonyesha unaweza ukaenda kuchukua kadi cha CHAPUTA tena
11 yrs[emoji12] [emoji12]Nina mwaka wa 11 sasa napiga punyeto na sijui lini ntaacha sioni dalili za kuacha kipindi iki japo kuna wakati nakaa adi mwezi bila kupiga sababu za kupata dem zaid ya mmoja, pia kuna kipindi napiga nyeto adi mara mbili kwa siku
Hahahaha mkuu wiki tu unaanza kutoa ushuhuda. Subiri angalau mwezi mmoja hivi ndo utuletee mrejeshoNimepiga saana puchu daah yani hata kipindi nilichokua nna mpenzi ni lazima nipige puchu ila kwa sasa nayaona madhara yake aisee! Ni wiki sasa tangu niamue kuachana na mchezo huu wa kipuuzi nategemea sinto kuja piga teena puchu kwahelini makamanda kwahelini chaputa
Mkuu subiri nitaleta ukiona wiki tu nnaleta ushuhuda jiulize nmetumikia vip chaputa haaahHahahaha mkuu wiki tu unaanza kutoa ushuhuda. Subiri angalau mwezi mmoja hivi ndo utuletee mrejesho
Zaidi ya 10 years unapiga nganga unataka kugundua nini?Kiukweli nyeto ni tamu sana ila ni haramu na inagharimu sana kuacha kwa wale waliokubuhu kama mimi.
Binafsi nina zaidi ya 10yrs nimejaribu kuacha nmeshindwa hii kitu ni tamu jamani sijui ni kwangu tu? Hebu niambieni ndugu zangu nifanye nini ili niache, ni tamu lakini nataka kuiacha kabisa, bora hata ningekuwa nimefundishwa na mtu ningemtafuata anifundishe kuiacha.
Najuta sana kuijua mwenyewe nakosa hata wa kumlaumu.
Msaada ndugu zangu natamani mwaka huu iwe ndo mwisho wa Mimi kupiga punyeto.
Kiukweli nyeto ni tamu sana ila ni haramu na inagharimu sana kuacha kwa wale waliokubuhu kama mimi.
Binafsi nina zaidi ya 10yrs nimejaribu kuacha nmeshindwa hii kitu ni tamu jamani sijui ni kwangu tu? Hebu niambieni ndugu zangu nifanye nini ili niache, ni tamu lakini nataka kuiacha kabisa, bora hata ningekuwa nimefundishwa na mtu ningemtafuata anifundishe kuiacha.
Najuta sana kuijua mwenyewe nakosa hata wa kumlaumu.
Msaada ndugu zangu natamani mwaka huu iwe ndo mwisho wa Mimi kupiga punyeto.