Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Kuna hii app itakusaidia kama uko whatsapp nikutumie link udownload.
980199e204ea38797ce2f51024ea6e40.jpg
c972d2635d39681b94ca177532fb9b5e.jpg
6cd8a389177ef951d573a645d2dc31d9.jpg
 
dawa ya kuacha puli ni kutafta dem mkaliiii ambae anakupendaaa na kumshughulikia vizur ad asahau ma ex wake wotee
 
Ngoja waje wadangaji muwaeleze kwanini mnawakosesha liziki kwa kupiga punyeto ili hali wao wapo kutoa hiyo huduma?
 
Naweza kusema kama nimeshajishindwa vile, hii yote ni kwasababu kwa miaka 17 sasa nimekuwa napiga selfie! Dah hii hatari, niliianzisha hii mada kwa lengo la kupata mawazo mbali mbali toka kwa members wenzangu, binafsi kila siku huwa nasema kesho nitaacha, lakini kwa leo hii siku ya tarehe 15 Jul 2017 natangaza rasmi kuacha selfie. Na kwa members wenzangu nawashauri muache, kwani ina madhara makubwa sana, madhara niloyapata mimi ni moja ya kama nikipewa papuchi hata sahivi nina uwezo wa kutupia hata vitano, lakini nikitoka hapo huwa nalala si chini ya masaa ma4.

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Duh miaka 18 sasa
 
Heri ya Mwaka Mpya wazee wa kugegeda na kugegedwa!!

Kama mada inavyojieleza hapo juu

Nlikua mwanachama wa CHAPUTA na mjumbe wa mkutano mkuu wa CHAPUTA kwa miaka 13

Kwa siku nlipiga puli hadi goli 5

Hali hii ilinitesa sana kwa maana nikidinda kidogo tu naingia chemba kujifyatua

Lakini kuanzia mwaka Jana 2017 mwezi wa 12 mwishoni nimetembelewa na mama mtoto wangu anaeishi mkoa Jirani

Daaah tangu wakati huo hadi sasa yapata wiki ya 3 sijapiga puli nafikiri hii ndo njia nzuri ya asili ya kuacha nyeto,kaa na mwanamke karibu,ukihisi mzuka wa kujilipua usitafute soap au mafuta mfuate mwanamke wako mwombe game

Ukipiga game wiki mfululizo ule mzuka wa kupiga nyeto unaisha taratibu hatimaye unaacha kabisa

OA ili kuachana na Punyeto
 
Vitu vinavyo patikana humu[emoji160] haviwezi kuniacha salama
 
Inna umeona?
Mada za kujenga ndoa ndio hizi sio unashinda kwenye thread za mshana anatuma picha za nyoka nyoka na tunguli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nawaza mshana akiona hii comment si utarogwa jamaa angu??
 
Heri ya Mwaka Mpya wazee wa kugegeda na kugegedwa!!

Kama mada inavyojieleza hapo juu

Nlikua mwanachama wa CHAPUTA na mjumbe wa mkutano mkuu wa CHAPUTA kwa miaka 13

Kwa siku nlipiga puli hadi goli 5

Hali hii ilinitesa sana kwa maana nikidinda kidogo tu naingia chemba kujifyatua

Lakini kuanzia mwaka Jana 2017 mwezi wa 12 mwishoni nimetembelewa na mama mtoto wangu anaeishi mkoa Jirani

Daaah tangu wakati huo hadi sasa yapata wiki ya 3 sijapiga puli nafikiri hii ndo njia nzuri ya asili ya kuacha nyeto,kaa na mwanamke karibu,ukihisi mzuka wa kujilipua usitafute soap au mafuta mfuate mwanamke wako mwombe game

Ukipiga game wiki mfululizo ule mzuka wa kupiga nyeto unaisha taratibu hatimaye unaacha kabisa

OA ili kuachana na Punyeto
Week 3 ngumu sana kusema umeacha nyeto
 
Back
Top Bottom