Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

Kichwa cha habari chahusika. Kutokana na uhaba wa pesa nimegundua mbinu rahisi ya kujiridhisha kimapenzi (pasipo gharama wala hofu ya magonjwa nyemelezi). Ila nimekuwa addicted kiasi haipiti siku bila kujichua. Nifanyeje ili niache?
Pole sana mkuu,tafuta kaswala kadogo kasikopenda pesa huwe unasuza rungu,mambo ya "Kukwea Mnazi" ni hatari kwa afya yako!!
 
Ni utani tu mkuu wala sio mpenzi wa hizo hizo movie.
Haahahah nadhani hujawa na lengo la kuacha mkuu, maana umevutiwa na website za pornograph,,,,,me nashauri angalia kwanza cku ukitaka kuacha kwa moyo wako wote ufuate ushauri!!!!
 
Back
Top Bottom