baba_la_kichaga
Senior Member
- May 15, 2017
- 127
- 54
Habari za mchana wandugu nina gari yangu Toyota 1 st ikitembea na kufika km 100 inaishiwa nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo angalia mfumo wa mafuta pamoja na hewaHabari za mchana wandugu nina gari yangu Toyota 1 st ikitembea na kufika km 100 inaishiwa nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu kitaalamKwa kiasi kikubwa inawezekana fuel pump yako imechoka hasa kama gari haiwezi kuaccelerate. Vinginevyo, inawezekana air filter yako imeshaziba, inabidi uibadilishe. Kwa jumla matatizo ya gari kuishiwa nguvu ni ama hakuna mafuta au hewa ya kutosha kwenye combustion chamber. Utaiona wakati mweingine inatoa moshi mweupe.
hapo hujaelewa nn mlevi mwenzang..Umeandiia kama mlevi,tulia kwanza andika vizuri ili mtu akuelewe
Mkuu tumecheki na hakuna tatizo, temperature iko normal haipandiMmecheki mfumo wa gear uko vizuri?....
Je ukifunika bonnet temperature inapanda?...
Hebu cheki na hayo
Mkuu si mpaka itengamae kwanza? HahaaUza mkuu
Bila shaka imekaa vizuri sasa!Umeandiia kama mlevi,tulia kwanza andika vizuri ili mtu akuelewe
Mkuu kote huko pamechekiwa, hakuna Shida!Angalieni na exhaust systemn