Asante ila hii battery ni nzima coz ikishapoa tu, nikipga jino moja tu inawakaPole kaka, gari ilikuwa inasumbua hivyo hivyo, battery iliisha nguvu, nilivyoibadilisha ikapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ila hii battery ni nzima coz ikishapoa tu, nikipga jino moja tu inawakaPole kaka, gari ilikuwa inasumbua hivyo hivyo, battery iliisha nguvu, nilivyoibadilisha ikapona
Pole kaka, gari ilikuwa inasumbua hivyo hivyo, battery iliisha nguvu, nilivyoibadilisha ikapona
Niko KibahaUko wapi? Taja mkoa uelekezwe kuna vizee bado vipo tangu enzi hizo samurai zinaingia uelekezwe warekebishe usipeleke kwa mafundi hawa vijana wengi ni bangi na tamaa
Duh!poa nikishindwa yote ntazingatiaWenzio wanabadili engine yote wanaweka mpya.
Pole kaka, gari ilikuwa inasumbua hivyo hivyo, battery iliisha nguvu, nilivyoibadilisha ikapona
Duh!poa lakn nikishindwa yote ntazingatia hiliWenzio wanabadili engine yote wanaweka mpya.
Poa ntachek hyo kituMkuu badilisha/rekebisha kitu kinachoitwa 'throttle'
Poa asante ntachekikuna jamaa alikuwa ana tatizi hilohilo,ishu ilikuwa ni throtle
Mkuu ushauri wako niliuzingatia nimefika Dar siku ya leo mchana.pole mkuu,unaweza tu kurudi nayo mpaka dsm utakapoipeleka kwa fundi. Inawezekana inapoteza nguvu na hii inatokana na hydrolic nyingi tunazoweka hazina kiwango. Muhimu iwe haivuji na inasukuma hapo unatembea by the way ukiwa speed itakua laini na utafika
Najaribu kumwelewesha ni hivi kwenye tairi za mbele kuna vitu vinaitwa BALL JOINT sasa hizo zikichoka zinafanya usukani wa gari unakuwa mgumu, ni uzoefu maana nishakutana na hali hiyo.
nenda kacheck kwa watalaam wanaotumia computer,you will know the fault straight