Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Kingine cha kuzingatia Ktk nissan extrail
Ni lazima Rejeta iwe na maji nissan extrail engen haitakiwi kabisa ku over heat.
Asubuhi kabla hajaingia ndani ya gari check maji

Ushauri mzuri kabisa mrangi
 
Last edited by a moderator:
Watanzania wakishindwa tengeneza kitu kutokana na umaskini wao au kutokuwa na ufahamu wa kutosha juu ya kitu hicho basi hitimisho lao ni kuwa kitu hicho ni kibovu.
Ndiyo maana tumekariri toyota ndio gari ukinunua brand nyingine utaambiwa umenunua gari bovu.
Hivi kama uliweza ingia mtandaoni ukaagiza gari utashindwa vipi agiza spare?
 
ni mazuri machoni lakini spea zake gharama sana, likikuzigua lazima ulisuse gereji mimi nimenunua TOYOTA Rav 4 toka 2007 haijawahi kunizingua na kuanzia hapo sijawahi kupanda daladala tena mi ni mwendo wa kiyoyozi unless ukute naenda msalani
 
Sasa kweli ulitaka bei ya spear za subaru zinanane na its au noah?

5km kwa lita hiyo kimeo badilisha plug na oxygen sensor,epuka mafundi wa vijiweni,Spear acha kutuma nenda mwenyewe ili wasikudalalie

Arusha shock up laki 2-3,taa laki 2-3,ukishindwa agiza Nairobi
Hizi ndizo bei za Arusha
 

Attachments

  • 1435388777222.jpg
    1435388777222.jpg
    30.4 KB · Views: 310
Nime fatilia mada kuhusu u bovu wa nissan xtrail, ukweli ni kwangu nissan xtrail syo mbovu.
Nissan extrail ni service kufanya inayotakiwa ya extrail..na nissan ni vitu vitatu kuzingatia engen oil, hydronic gear box oil zote hizo uweke za nissan, na kuna mafuta ambayo yanapaswa kuweka kutokana na aina ya engen ya gari yako mfano labda mafuta ya kawa aina triple j au l etc.
Inategemea wewe uko katika kundi gani la mafuta yanayotakiwa kuweka.
Oil ya nissan extrail ya hydronic ni 250,000/ mpaka 200,000/
Engen oil nayo sh 70000/
Hiyo garama tu sasa sisi watz wengi tushazoea virahisi rahisi alafu badaye tunaanza lalamika...tunataka miliki vitu alafu kuviendesha hatuwezi.

Your very right mkuu,tatizo jengine mtu anaweza kusimulia kitu utasema anakijua vizuri kumbe kasikia story basi nae ataitolea ushuhuda balaa utasema anaexperiance na anachokiongea
 
Your very right mkuu,tatizo jengine mtu anaweza kusimulia kitu utasema anakijua vizuri kumbe kasikia story basi nae ataitolea ushuhuda balaa utasema anaexperiance na anachokiongea
Kweli mkuu ushahidi huo nna kuna watu nawajua wanatumia xtrail kwa muda wa miaka mingi tu na gari zao ziko vizuri, hao wanao lalamika hawafati taratibu ya service inayotakiwa zaidi ya kufanya service longolongo tu...
 
Kweli mkuu ushahidi huo nna kuna watu nawajua wanatumia xtrail kwa muda wa miaka mingi tu na gari zao ziko vizuri, hao wanao lalamika hawafati taratibu ya service inayotakiwa zaidi ya kufanya service longolongo tu...
Mimi mwenyewe ninayo xtrail nina mwaka wa pili sasa i havent seen any problem,mtua afanye maamuzi kulingana na anchojisikia ndiocho nilichojifunza,maana na mm nilipata maneno meengo kabla ya kununua hiyo gari but nilishaamua na nikanunua na sasa sina tatizo kabisa
 
Kiujumla gari za kisasa ambazo sio toyota ni ishu sana. Gari moja ya aina ya Escudo 2006, taa moja ya nyuma ni 900,000 kwa seti! Kama nadanganya aje mtu abishe hapa.

Tuwe makini tu ikiwa huna haja ya fasheni km ww ni 'bora usafiri' tununue ist, starlet,rav4 (<2003) ni magari mengi mno mjini ingawa hayana hadhi kwa sababu ya kuwa km uniform

ndio mana watz kwa kutaka waonekane wana "hadhi" wengi wameishia kua matapeli, wezi, vibaka, majambazi n.k.
 
Mimi mwenyewe ninayo xtrail nina mwaka wa pili sasa i havent seen any problem,mtua afanye maamuzi kulingana na anchojisikia ndiocho nilichojifunza,maana na mm nilipata maneno meengo kabla ya kununua hiyo gari but nilishaamua na nikanunua na sasa sina tatizo kabisa

Gari hiyo haina shida ukifatilia service yake itadumu na kudumu.
Sema wengine ni longolongo ukimshauri kufunga plug tu ambayo ni nzuri kwa moja lbda 30000 utaskia ah hiyo hela sina..niweke ya 5000
 
Gari hiyo haina shida ukifatilia service yake itadumu na kudumu.
Sema wengine ni longolongo ukimshauri kufunga plug tu ambayo ni nzuri kwa moja lbda 30000 utaskia ah hiyo hela sina..niweke ya 5000
Uko sawa kabisa hicho ndio kinatucost mzee tunataka urahisi bila kujua impact yake
 
Hizi ndizo bei za Arusha

Hizo labda ni zile za quatation za kupeleka bima ili walipe, ila kimtaani mtaani hiyo bei iko inflated sana, hata kwa 30% ya hiyo bei still utavipata hivyo viti
 
Hizi ndizo bei za Arusha

Hiyo ni Subaru mkuu. Usiwatishe watu wanaipenda Nissan x trial. Mimi nimebahatika kuwa na gari za Toyota 2. Pajero 1 Suzuki 1 na sasa niko na Nissan X trial. Katika ughali wa spea sioni tofauti ye yote. Kama ni tofauti iko katika starehe na wepesi wa mwendo, hii ni nzuri zaidi.
 
Kingine cha kuzingatia Ktk nissan extrail
Ni lazima Rejeta iwe na maji nissan extrail engen haitakiwi kabisa ku over heat.
Asubuhi kabla hajaingia ndani ya gari check maji
Ni gari gani ambalo linapiga kazi na radiator lina overheat???

Hahahahaha ..... nimemiliki vimeo vya kila aina maisha haya na pia ya Kijerumani magumu magumu kuharibika pia nishakuwa nayo, sijawahi kuona gari linachemsha kwenye radiator halafu linabaki liko poa!

I mean, it absolutely makes no sense to say NISSAN X-TRAIL lazima liwe na maji kwenye radiator. Gari gani linatembea kavu kwenye raditor?
 
Kingine cha kuzingatia Ktk nissan extrail
Ni lazima Rejeta iwe na maji nissan extrail engen haitakiwi kabisa ku over heat.
Asubuhi kabla hajaingia ndani ya gari check maji

Haswaa. Yaani huo ndio ugomvi mkubwa kwa nissan. Hapa nipo Chalinze natoka Mutukula. Nimeinunua mwaka 2011 lkn sijapata tatizo lolote. pia ni muhimu kuwa makini na mfuniko wa radiator.
 
Ngoja niwadadisi mafundi ,maana kampuni yetu inazo kama mbili na mzigo inazopiga si haba( kwa maana ya safari),
 
Back
Top Bottom