Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,080
Sikh hizi hali ya vipuli inasumbua sana hata Baiskeli za Swala nimekosa spea zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Bodi sio plastic ni fibre! Ni tofauti kubwa. Unajua kwanini wametengeneza vile? Technolojia hii ni kumlinda mtembea kwa miguu, mtu akigonwa na gari hili kama impact sio kubwa sana hawezi kuumia kwani bodi hubonya na kurudi kawaida. Pili bodi hili ukikwaruzwa au kugonwa kidogo au kuguswa bahati mbaya hubonya na kurudi akama kawaida hivyo kupunguza gharama za kunyoosha na matengenezo yasio ya lazima. Kama zilivyo bampa za magari yote yanayotoka sasa hivi ni ya Fibre na ukigonga au kugongwa nyuma au wewe ukigonga kama sio gari kubwa sana au impact sio kubwa unaweza usijue kama kuna kilichotokea.
Oil unatumia ya aina gani na inaitwaje hebu mkuu funguka vizuri
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana.
Je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu.
Tatizo watu wamekariri,kuwa gari ni toyota. Hata ukiwauliza viashiria vya kwenye dashboard vina maana gani hawajui
Ndugu nissan xtrail haina shida hata kidogo...hii gari inahitaji kufuata masharti yake elekezi....hii gari inatumia oil ya nissan extrail tu...hivyo watu wengi wanapofanya service huwa wanatumia oil ambayo not recommended kwa xtrail...but mtu ukitumia oil yake utaifurahia sana hii gari....ni gari nzuri....ni gari ya safar..tatizo letu watanzania tunapenda kufanya maamuzi kwa kutumia maneno matupu ya watu.....changamoto ninayoiona kwa extrail ni bei ghari ya vipuli....but vipuli vyake ni imara na original na hudumu muda mrefu
PRESSURE PLATE ya gari hii kuna wakati ilikuwa inauzwa shillingi 2,500,000/= (milioni mbili na nusu)
Wakati spea hiyo hiyo ya Toyota bei yake haizidi laki mbili