Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Ahsante sana mkuu.Ukikumbuka problems zingine usisite kutudadavulia.Ndo nipo naifikiria kuinunua hiyo gari but thread hii imenishtua kidogo.

Poa mkuu. Year model 2004 ndio ina complications nyingi sana.
 
WAKITAKA KUJUA N.LUSIFA HAYA NJON NJIA YA TRA MWENGE kwa nyuma kuna garage yamepaki kama mabanda ya kuku na ma bmw..na sijui.niseme
 
Kwa ujumla tuachane na mawazo mgando,magari ya sasa yanahitaji kutengenezwa kwa akili zaidi kuliko kufungua. Kwa maana hii ndio maana dash board za magari huwa yana viashiria vingi, ukiona kiashiria kimojawapo na kama hukijui kapime gari upate jibu sahihi kuliko kufungua fungua mwisho wake utalalamika kuwa magari ni mabovu. Na hili sio xtrail pekee hata toyota za sasa hivi pia zinahitaji matunzo ya namna hii. Ukifuata utaratibu huu utasahau mafundi wa kubahatisha. Mimi natumia toyota ya mwaka 2004 nilipata matatizo kwenye gari fundi mmoja akaniambie ninunue injini mwingine akasema tubadilishe accelerator ila baada ya diagnosis shida ilikwisha kwa just simple reset ya mfumo wa gari, na mpaka leo nasafiri nayo kwa zaidi km 1000 kwa siku bila usumbufu wowote.

Kwa ujumla tuache mafundi wa kubahatisha kwani ndio chanzo cha uharibifu wa magari. Wanaosema toyota spea zake ni nafuu wajaribu ku browse kwenye internet waone bei halisi za vipuri,ndio watajua kwanini kila siku huwa wanarudi kwa mafundi kufunga spea mpya
 
WAKITAKA KUJUA N.LUSIFA HAYA NJON NJIA YA TRA MWENGE kwa nyuma kuna garage yamepaki kama mabanda ya kuku na ma bmw..na sijui.niseme
Pdidy
Yamepaki kama nini manissani xtrail
 
Last edited by a moderator:
Kwa ujumla tuachane na mawazo mgando,magari ya sasa yanahitaji kutengenezwa kwa akili zaidi kuliko kufungua. Kwa maana hii ndio maana dash board za magari huwa yana viashiria vingi, ukiona kiashiria kimojawapo na kama hukijui kapime gari upate jibu sahihi kuliko kufungua fungua mwisho wake utalalamika kuwa magari ni mabovu. Na hili sio xtrail pekee hata toyota za sasa hivi pia zinahitaji matunzo ya namna hii. Ukifuata utaratibu huu utasahau mafundi wa kubahatisha. Mimi natumia toyota ya mwaka 2004 nilipata matatizo kwenye gari fundi mmoja akaniambie ninunue injini mwingine akasema tubadilishe accelerator ila baada ya diagnosis shida ilikwisha kwa just simple reset ya mfumo wa gari, na mpaka leo nasafiri nayo kwa zaidi km 1000 kwa siku bila usumbufu wowote.

Kwa ujumla tuache mafundi wa kubahatisha kwani ndio chanzo cha uharibifu wa magari. Wanaosema toyota spea zake ni nafuu wajaribu ku browse kwenye internet waone bei halisi za vipuri,ndio watajua kwanini kila siku huwa wanarudi kwa mafundi kufunga spea mpya
Tindi unataka kusema spea za toyota zina bei kama nissani
 
Last edited by a moderator:
Tindi unataka kusema spea za toyota zina bei kama nissani

Ukinunua spea original lazima bei zinaribiane kuwa sawa...
Magari yote spea zinakuwa gharama zikiwa original, kama unataka feki ndo unakuta bei ya chini...
 
Last edited by a moderator:
Tindi.wapi.wsnafanya.hii diag...na kama sh ngap

Kiujumla sio xrail

Nissan zote n mimba
 
ukinunua spea original lazima bei zinaribiane kuwa sawa...
Magari yote spea zinakuwa gharama zikiwa original, kama unataka feki ndo unakuta bei ya chini...
origin spare ya toyota bei sio.sawa na nissan hata sikumoja

kingine upatikanaji wake nao.n shuguli tusiiwaingizewatu cchaka wakanunua magari am bayo yakawatesa hadi wajukuu wanalaan
 
Kwa kiasi unawezakuwa sahihi kwa upeo wako lakini ni gari nzuri sana ukijua jinsi ya kuitunza.

1. service ya nissan ni ghali kidogo coz huwa inatitaji oil nzuri na za bei
2. oil filter ya nissan extrail inaingilia suv nyingi sema ukifunga oil filter feka mala nyingi huwa inasumbua sana
na smtym huwa inazima ukiwa kwenye speed, dawa ni kuweka/kufunga oil filter original tuu.
also matatizo ya oil filter feki mafundi wengi wanazinguaga wanakuapa matatizo ya uongo mie nilienda CFAO ndo nikajua tatizo ni nini coz nilisha ambiwa enjine haifai.
3. ina few sensa kwenye ambazo zipo njee so haushauriwa kuosha engine.
4. fuel consumption ni nzuri kama unajali service pia.
5. ipo stable na inafaa kwa safari kwa wale wanao safiri sana.

NB:
WATU WENGI WAMEKALILI TUU SPARE ZIPO NYINGI TUU
 
Umesahau kusema kuwa fibre inafanya gari inakuwa nyepesi kuliko kutumia bati kama zamani...
Hii teknolojia imefanya magari mengi sana kuwa si mazito kama zamani...
Nissan hasa SUV's zina sifa ya kuwa na uzito na density kubwa na huwa hazichukuliwi na maji kwa urahisi tofauti na Toyota. Pamoja na kuweka fibre bado Nissan ni nzito na inakamata ardhi vizuri. Cheki hapa halafu uniambie kama Toyota Landcruiser inaweza kufanya hivi:
 
Last edited by a moderator:
Xuxu meyu naona hujatambua nini nilichokuwa nakizungumza,tafsiri yangu kuwa spea original ni ghali na wengi wetu hufunga spea feki. Kwa mtu wa kuaminika na anaeuza spea original nenda japanese msimbazi utaona tofauti.

Pili mtu anayeuza spea origino haitaji sample ila anahitaji make ya gari,model na part no tu kwa ajili ya kukuuzia spare. Maduka mengi sana watakwambia naomba sample,hii inaonyesha jinsi gani walivyo wababaishaji
 
Tindi.wapi.wsnafanya.hii diag...na kama sh ngap

Kiujumla sio xrail

Nissan zote n mimba
Kama una mpango wa kununua gari ya zaidi ya mwaka 2008 na akwa mtizamo wako basi zote zitakuwa mimba. Gari zote zinazokuja sasa zinategemea diagnosis kwa kiasi kikubwa. Inategemea, unaweza kununua mwenyewe kifaa hicho ambacho huuzwa kuanzia dola 150 -200 au hata zaidi kutegemeana na aina na mahitaji yako. Kinafaa sana kurekebisha matatizo ya gari kwani wakati mwingine kinafanya kazi na kuweka sawa na hutahitaji kugusa engene. Ukienda sehemu nyingi bei inaanzia sh 45,000 -75,000 kutegemeana na mahali na mtu. Ni vema ukapata pia anaejua na wewe mwenyewe utazame uridhike na anachofanya. Nissan X-Trail waliwahi kuanza na hii technologia ambayo ilikuwepo hapo kabla kwenye gari za kifahari kama Benz na BMW.
 

Wewe Ni Muongo!

Nissan X-Trail in soft off roader na imetengenezwa hivyo usitake kubisha tu! Kwanza hata low range gear haina ni automatic all wheel basi, sasa usitake kushindanisha na mnyama wa kazi Toyota Hilux! Nimekuwekea picha hapo chini uone Toyota Hilux ikiwa kazini!

Bwana mdogo wewe ni shabiki, huna gari na hujawahi kutumia haya magari. Anzisha thread ya mashabiki watakukubali. Hapa ni wenye magari na wanaoyatumia.
 
Ndugu nissan xtrail haina shida hata kidogo...hii gari inahitaji kufuata masharti yake elekezi....hii gari inatumia oil ya nissan extrail tu...hivyo watu wengi wanapofanya service huwa wanatumia oil ambayo not recommended kwa xtrail...but mtu ukitumia oil yake utaifurahia sana hii gari....ni gari nzuri....ni gari ya safar..tatizo letu watanzania tunapenda kufanya maamuzi kwa kutumia maneno matupu ya watu.....changamoto ninayoiona kwa extrail ni bei ghari ya vipuli....but vipuli vyake ni imara na original na hudumu muda mrefu

Oil ya ex- trail ndo ipi mkuu? BP, Oryx au ya kampuni gani?
 
Kwa ujumla tuachane na mawazo mgando,magari ya sasa yanahitaji kutengenezwa kwa akili zaidi kuliko kufungua. Kwa maana hii ndio maana dash board za magari huwa yana viashiria vingi, ukiona kiashiria kimojawapo na kama hukijui kapime gari upate jibu sahihi kuliko kufungua fungua mwisho wake utalalamika kuwa magari ni mabovu. Na hili sio xtrail pekee hata toyota za sasa hivi pia zinahitaji matunzo ya namna hii. Ukifuata utaratibu huu utasahau mafundi wa kubahatisha. Mimi natumia toyota ya mwaka 2004 nilipata matatizo kwenye gari fundi mmoja akaniambie ninunue injini mwingine akasema tubadilishe accelerator ila baada ya diagnosis shida ilikwisha kwa just simple reset ya mfumo wa gari, na mpaka leo nasafiri nayo kwa zaidi km 1000 kwa siku bila usumbufu wowote.

Kwa ujumla tuache mafundi wa kubahatisha kwani ndio chanzo cha uharibifu wa magari. Wanaosema toyota spea zake ni nafuu wajaribu ku browse kwenye internet waone bei halisi za vipuri,ndio watajua kwanini kila siku huwa wanarudi kwa mafundi kufunga spea mpya

Mkuu wewe unajua unachokisema, kuna watu humu ni ushabiki tu, oooo eti x-trail ni shida bla bla bla, mimi nina x-trail mwaka wa 5 sasa, sijawahi pata tatizo lolote, nina rafiki yangu kaagiza rav4 ni mwaka wa pili tu ameshapeleka garage mara nyingi tu, cha msingi gari unayoagiza angalia pia na umri kule inapotoka , na kikubwa zaidi ni reliable service.
 
Tindi unataka kusema spea za toyota zina bei kama nissani

Mkuu tatizo lako ni bei au ubora ? halafu kumbuka vipato havilingani, wakati wewe unapanga kwenda kigoma kwa train mwenzio anapanga kwenda na ndege. Ndio maana barabarani utakuta vogue, rav4, noah, x-trail, subaru, altezza, toyotav8, bmw, vw etc hiyo tunaiita product mix.
 
Bwana mdogo wewe ni shabiki, huna gari na hujawahi kutumia haya magari. Anzisha thread ya mashabiki watakukubali. Hapa ni wenye magari na wanaoyatumia.

Jibu kwanza swali Nissan X-trail yako ina low range gear? Usitake kukwepa swali!
 
Back
Top Bottom