Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Kitu nimegundua kny huu uzi wengi hawana uzoefu nazo wanaongea through hearsay, ila wenye uzoefu nazo wanaongea with details. Thanks Kwameh na wengine waliotoa reference za kueleweka
 
Last edited by a moderator:
Umenipa nguvu mkuu maana nmeiagizia

mkuu hautakiwi kuvunjika moyo kwa maneno na soga za wadau hum.harafu wengi wanao coment humu ni wale wanao miliki vigari vidogo vidogo like passo vits stalet n.k

ukitaka kujua kuwa wengi humu hawajui walisemalo soma coment zote za wadau walio zilaum na kuziponda kuwa ni mbovu zaidi utapata point ya ugari wa vipuri vyake 2 basi.

zaidi ya hapo kiukweli no coment kabisaaa.

tatizo kubwa letu wa bongo kwanza tunapenda slope harafu niwavivu wakujifunza na kufaham mambo.

kama unamiliki gari lazima uliheshimu ulitunze na kurijari hakika nalo nitakutendea mema siku zote

ujue ni vyema kabla hujanunua gari ulufaham kwanza lina sifa gani unalununua kwa matumizi yapi hasa na kwa maeneo yapi.
ww huwezi ukanunua gari ya luxury ww ukawa unaipigia masafa long safari.

kazi au safari au inapotumika SULV ww unaipeleka SALOON.

suala la oil ya engine na gear box na diff kama tungekuwa wafuatiliaji wazuri huwa watengenezaji huwa wanaandika aina ya oil ya kutumia iwe kwenye engine gear box or diff iwe na specification gani.

huwa hawaandiki nunua toyota sijui nissan sijui isuzu benz vw or subaru oil.

na kumbuka specification za oil ni zile zile tuu bali wengi wanazuzuka na majina yake
 
sasa unataka ununue x-trail wakati unajijua umechoka mbaya...? nyie ndio wale mnaofananisha range rover na vitz alaf mnasema range rover kuimudu gharama sana kuliko vitz wakati hata kiuharisia inajulikana hizo gari hazifanani....

hapa leteni comparison kati ya nissan x-trail vs toyota vanguard, rav 4, prado, alaf tuone ipi gharama..

bush ya x-trail unaweza kuta laki na nusu lakini unakaa nayo muda, lakini toyota unaweza nunua bush kwa elfu 30, lakini ukabadili bush kwa kila mwaka hata mara tatu mpaka ukampita mwenye laki na nusu
 
Hivi NISSAN tumeanza kuzijua leo jamani,au ndio haya majina yake ya Ziada ndio yanatuahadaa.
Nissan kama una pesa ya mawazo ni gari shida sana,labda utumie mwaka na umtafute wa kumuuzia nusu bei.Na ndio maana wanabadisha miundo kibao.

Na kampuni hii inachofanya ni kuingia mikataba na Serikali za nchi Mbalimbali ili kuuzia Magari hayo katika idara zake mbali mbali,ndio maana watu tunayaona mengi na wengine wananunua kwa kuangali housing.

Hembu kumbukeni wale mliofanya kazi Bima miaka ya 90s,HYUNDAI walikuja na mikopo nafuu sana kukopesha magari hayo kwenye Taasis ya NIC na nyinginezo,kuna walioingia mkenge na wajanja walioulizwa hawakuchukua Mkopo huo.
Mkuu usidanganywe.
Mimi ntimeumia Nissan wa Zaidi ya miaka 20, hizi gari kwa comfort hata Toyota haingii.
Nimetumia toka pick up hadi Patrol na na hazina shida.
Msharti yakeni kutumia spares original, ni ngumu na zinadumu.
Patro yangu ya sasa likuwa petrol 4500cc inabuguia mafuta kama kisa cha mwarabu.
Niliamua kuweka engine ya Prado 3000cc, the vehicle iko comfortable na nafaidi matunda
 
Asante High Vampire kwa uzi mzuri.
Naomba nijue ubovu wa hz nissan x-trial.

Binafsi nazipenda coz naona ni gari yenye nafasi sana na je kwa ushauri wako kama nataka kuagiza nikiagiza Voxy au Noah ntakuwa nimecheza vema na opportunity cost (kwa ku forgone xtrial)

Asante.

Kwa kauzoef kangu kadogo mbadala wa karibu kwa x-trail ni Rav4.
 
Last edited by a moderator:
Nyie pigine mayowe mara nissan,toyota,isuzu mimi mtu hawezi nibadili mawazo kuhusu Subaru,gari ngumu sana sana kuanzia forrester,wrz mpaka impreza.
 
Mkuu usidanganywe.
Mimi ntimeumia Nissan wa Zaidi ya miaka 20, hizi gari kwa comfort hata Toyota haingii.
Nimetumia toka pick up hadi Patrol na na hazina shida.
Msharti yakeni kutumia spares original, ni ngumu na zinadumu.
Patro yangu ya sasa likuwa petrol 4500cc inabuguia mafuta kama kisa cha mwarabu.
Niliamua kuweka engine ya Prado 3000cc, the vehicle iko comfortable na nafaidi matunda

Bongo kuna mafundi duh,from Nissan to Toyota,
 
Nyie pigine mayowe mara nissan,toyota,isuzu mimi mtu hawezi nibadili mawazo kuhusu Subaru,gari ngumu sana sana kuanzia forrester,wrz mpaka impreza.

Uzuri wake nini Manosa
 
Last edited by a moderator:
Kitu nimegundua kny huu uzi wengi hawana uzoefu nazo wanaongea through hearsay, ila wenye uzoefu nazo wanaongea with details. Thanks Kwameh na wengine waliotoa reference za kueleweka

Ukinunua ndio utajua kuwa spea zake bei ghali tofauti na toyota Prishaz
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wake nini Manosa

Subaru nying ni full time 4wd,issue ya kijiji huna hofu,mafuta 10km/L city kwa highway 12km hapa nazungumzia cc2000, kwa vipuli Shock up,bush,body,pump,plugg vyote bei ya kaiwada,

Jaribu forrester 2005 xt au cross sport ukishindwa hata impreza siyo mbaya maana engine za subaru structure ni moja.Zina tofautiana vitu vidogo kama cc,turbo, drive type
 
Nimesoma huu Uzi naona kila mmoja anatoa story asieijua. Kwa taarifa yenu hakuna Gari nzuri kama Nissan xtrail. Nimekaa NATO five years, Nina ndugu zangu wanne hazijasumbua. Kuhusu AC zipo vzr sana kama gx 110 spear so ghali kama watu wanavyotaka kutuaminisha no za kawaida sana. Engine complete used 700 laki sijui kwa mini watu wanapotosha. Kwa safari nni Gari nzuri sana
Ulaji was Mafuta in mzuri ukilinganishana na SUV nyingine ambazo ni 4WD
Ukitaka detail ya kila spear na being uliza sio kukurupuka na kudanganya umma. Ukiwa na RAV4 kwa mwaka garana za service na Mafuta no kubwa kuliko Xtrail, ninao ushahidi kwa hili

Kuagiza extrail no cheap kuliko RAV4 lakini ushuru was Xtrail no mkubwa kuliko rav4 n.k

Waambie mpwa, ninayo mwaka wa sita sasa sijaingia gharama yoyote zaidi ya service ambayo nafanya kila baada ya 3000km.
Wengi wanadandia treni kwa mbele kwa sababu ya maneno ya vijiweni. X-trail haina spea feki kama ambavyo magari mengi ya toyota yalivyo.

Wanao hoji aina ya oil: Tumia oil ambayo ni multi grade. Mfano SAE 15W40 au SAE 20W50. Mafundi wengi ni maneno mengi bila experience hivyo za kuambiwa unachanganya na za kwako.

cb
 
Mkuu Zanzibar Spices, nadhani inafuatana unaongelea Nissan ipi, na model ipi. Nimeona vi-NISSAN vingi vidogo, kimsingi ni maumivu. Lakini nimemiliki Nissan mbili (NISSAN SAFARI ile ya engine SD 33 na SD42). Asikwambie mtu. Spare zake ghali, lakini ukifunga unasahau. Ile Nissan SD 33 inatumia lita moja kwa km12 ukiwa ume-maintain mwendo wa kilomita 90 hadi 120 kwa saa. Ile Nissan SD42 inaweza kunywa hadi km 6 kwa lita endapo unakwenda 140km/hr lakini ukitembea mwendo wa kawaida km 120/hr unatumia lita 1 kwa km 9 hadi 10 (kufuatana na barabara kama ina mwinuko. Ninaipenda sana Nissan, mtu hanidanganyi, lakini sio kina extrail wala March!
Hivi NISSAN tumeanza kuzijua leo jamani,au ndio haya majina yake ya Ziada ndio yanatuahadaa.
Nissan kama una pesa ya mawazo ni gari shida sana,labda utumie mwaka na umtafute wa kumuuzia nusu bei.Na ndio maana wanabadisha miundo kibao.

Na kampuni hii inachofanya ni kuingia mikataba na Serikali za nchi Mbalimbali ili kuuzia Magari hayo katika idara zake mbali mbali,ndio maana watu tunayaona mengi na wengine wananunua kwa kuangali housing.

Hembu kumbukeni wale mliofanya kazi Bima miaka ya 90s,HYUNDAI walikuja na mikopo nafuu sana kukopesha magari hayo kwenye Taasis ya NIC na nyinginezo,kuna walioingia mkenge na wajanja walioulizwa hawakuchukua Mkopo huo.
 
Mkuu usidanganywe.
Mimi ntimeumia Nissan wa Zaidi ya miaka 20, hizi gari kwa comfort hata Toyota haingii.
Nimetumia toka pick up hadi Patrol na na hazina shida.
Msharti yakeni kutumia spares original, ni ngumu na zinadumu.
Patro yangu ya sasa likuwa petrol 4500cc inabuguia mafuta kama kisa cha mwarabu.
Niliamua kuweka engine ya Prado 3000cc, the vehicle iko comfortable na nafaidi matunda

Wewe Ni Muongo! Mbongo umetumia gari zaidi ya miaka 20 acha fiksi hizo!
 
How about NISSAN MURANO?.

Nasikia na zenyewe ni mbovu na spea zake ni gharama&Hazipatikani.Mwenye uzoefu atusaidie
 
Ni kweli, xtrail haziko reliable kabisa kama Toyota. Inaweza kukuharibikia ghafla ukashindwa kujua cha kufanya, na spea zake ni chache sababu nyingi haziingiliani na gari nyingine. Kimeo kingine ni Nissan Murano. Kama umeshafanya utafiti kidogo wa bei zake kwenye used, zimeshuka saana, sasa hivi ni affordable kwa watu wengi. Ila haziko reliable hasa kwa barabara zetu na mafundi wetu

Na NISSANI MURANO nazo ni Kimeo kweli?.Udhaifu wake mkubwa ni nini?
 
Back
Top Bottom