Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Hizi gari ni poa tu, na watu wanapenda kukuza tu mambo unakuta tofauti ya bei kati ya spare part yake na ya toyota mfano ni elfu 10,000/= halafu mtu anakwambia ghali. Kwanza angalieni ata gari yenyewe kwanza sasa ukitaka bei ya spare iwe sawa na ile ya NOAH wewe una yako.
 
Sensor pekee ya hii gari unaweza kuiweka uani.
 
Na NISSANI MURANO nazo ni Kimeo kweli?.Udhaifu wake mkubwa ni nini?

Transmission failure, engine inaishiwa nguvu na kuzima ghafla, door handles zinavunjika kirahisi. Front shocks zinaharibika mara kwa mara na niv expensive. Nafikiri around Tshs 700K. Kuna kifaa kinaitwa transfer case, hiki huwa kina tabia ya kuvuja oil kwenye Murano, na repair yake unaweza kuacha gari, mfumo wa umeme unafial mara kwa mara. Hayo ni machache tu, ila yakikupata gari utaiona chungu.
 
Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana.

Je wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu.

Sio kweli.

CHA KWANZA KABISA UMJUE FUNDI ANAEJUA KUTENGENEZA NISSAN XTRAIL NA SIO TAPELI. FUNDI MWENYE UJUZI NA MUELEWA NA SIO MWENYE TAMAA!

Mimi fundi wangu miaka yote ni fundi mmoja anaitwa Deo yuko pale Mwenge alifundishwa na Nissan Wenyewe, yuko karibu na Maryland Bar opposite ITV.

Gari la kwangu nilinunua 2013 na mpaka leo ninalo na nimetembea nalo mikoa mingi sana nchi hii. Tayari tangu nimenunua nimetembea Kilometre 134,000 (nilizotumia mimi) Hili hapa:

Nimetumia magari mengi tangu ninunue gari la kwanza 1998. Nissan X-Trail haijawahi kuni-disapoint hata siku moja! Ni gari durable na comfortable hata ukiwa off road na stable barabarani sana. Nissan X-Trail spare zake ni ghali kidogo na sio kiasi kikubwa kama watu wanavyosema, ila bush, na stabiliser links ambazo ndio unabadilisha zaidi kama ni mtu wa pori kama mimi ukifunga ni mwaka. Spare zake karibu zote ni original. Vitu vikubwa vinavyokufaga na ni mara moja kwa mwaka ni sensors ambazo magari mengi ya siku hizi yanazo, usipoibadili ukaipuuzia basi unaweza kuharibu gari, gari ikaheat au tatizo lingine. Sensor moja inaweza kuwa laki mbili, ila sensor kama ya air filter mara nyingine huhitaji kusafishwa tu na spray maalum.

Muhimu usipitilize service milage, hakikisha unaweka collant na sio maji yako ya Dawasco, engene yake ni high efficient na moderm na ukiona tatizo lolote lile, peleka kwenye computer wa diagnose full stop. Iwe ni miss au engene ina mngurumo wa ajabu. Taa yoyote isiyo ya kawaida ikiwaka kwenye dashboard ni Computer tu ndio itakwambia.

Ujinga wa sisi Waafrika wengi tunataka gari ambalo hata usipofanya servie litakwenda tu na fundi yoyote ukimpa atategeneza. Ukimsikia fundi anakwambia hizi gari mbaya sana kama wanavyosema siku hizi gari za VVTI au D4 ujue huyo mbulula hana shule na hajui kulitengeneza. na ukimwachia atakuharibia gari.

Nissan X-trail haikuwahi kukwama katika tope, sio chini ya mara moja nimeziacha Rav 4, Suzuki Escudor na Hiluz Double cabin porini mimi nikapasua katika tope, vumbi na vichaka na sikupata shida yoyote. Pia clearance yake chini ni nzuri na sio rahisi kugonga.

Zingatia service yake, na ukifunga spare ni mkataba mwaka sio kama Toyota spare bei rahisi lakini utabibadili tu mara kwa mara na hutakumbuka mwisho wa mwaka umeingia gharama kiasi gani.
 
Transmission failure, engine inaishiwa nguvu na kuzima ghafla, door handles zinavunjika kirahisi. Front shocks zinaharibika mara kwa mara na niv expensive. Nafikiri around Tshs 700K. Kuna kifaa kinaitwa transfer case, hiki huwa kina tabia ya kuvuja oil kwenye Murano, na repair yake unaweza kuacha gari, mfumo wa umeme unafial mara kwa mara. Hayo ni machache tu, ila yakikupata gari utaiona chungu.

Murano ni kweli ni kimeo na hawaitengenezi tena!
 
xtrail ni kujipa mawazo tu. body plastic, engine aluminium ikizingua kidogo unalisahau juu ya mawe

Hapana Bodi sio plastic ni fibre! Ni tofauti kubwa. Unajua kwanini wametengeneza vile? Technolojia hii ni kumlinda mtembea kwa miguu, mtu akigonwa na gari hili kama impact sio kubwa sana hawezi kuumia kwani bodi hubonya na kurudi kawaida. Pili bodi hili ukikwaruzwa au kugonwa kidogo au kuguswa bahati mbaya hubonya na kurudi akama kawaida hivyo kupunguza gharama za kunyoosha na matengenezo yasio ya lazima. Kama zilivyo bampa za magari yote yanayotoka sasa hivi ni ya Fibre na ukigonga au kugongwa nyuma au wewe ukigonga kama sio gari kubwa sana au impact sio kubwa unaweza usijue kama kuna kilichotokea.
 
Sio kweli.

CHA KWANZA KABISA UMJUE FUNDI ANAEJUA KUTENGENEZA NISSAN XTRAIL NA SIO TAPELI. FUNDI MWENYE UJUZI NA MUELEWA NA SIO MWENYE TAMAA!

Mimi fundi wangu miaka yote ni fundi mmoja anaitwa Deo yuko pale Mwenge alifundishwa na Nissan Wenyewe, yuko karibu na Maryland Bar opposite ITV.

Gari la kwangu nilinunua 2013 na mpaka leo ninalo na nimetembea nalo mikoa mingi sana nchi hii. Tayari tangu nimenunua nimetembea Kilometre 134,000 (nilizotumia mimi) Hili hapa:

View attachment 260838

Nimetumia magari mengi tangu ninunue gari la kwanza 1998. Nissan X-Trail haijawahi kuni-disapoint hata siku moja! Ni gari durable na comfortable hata ukiwa off road na stable barabarani sana. Nissan X-Trail spare zake ni ghali kidogo na sio kiasi kikubwa kama watu wanavyosema, ila bush, na stabiliser links ambazo ndio unabadilisha zaidi kama ni mtu wa pori kama mimi ukifunga ni mwaka. Spare zake karibu zote ni original. Vitu vikubwa vinavyokufaga na ni mara moja kwa mwaka ni sensors ambazo magari mengi ya siku hizi yanazo, usipoibadili ukaipuuzia basi unaweza kuharibu gari, gari ikaheat au tatizo lingine. Sensor moja inaweza kuwa laki mbili, ila sensor kama ya air filter mara nyingine huhitaji kusafishwa tu na spray maalum.

Muhimu usipitilize service milage, hakikisha unaweka collant na sio maji yako ya Dawasco, engene yake ni high efficient na moderm na ukiona tatizo lolote lile, peleka kwenye computer wa diagnose full stop. Iwe ni miss au engene ina mngurumo wa ajabu. Taa yoyote isiyo ya kawaida ikiwaka kwenye dashboard ni Computer tu ndio itakwambia.

Ujinga wa sisi Waafrika wengi tunataka gari ambalo hata usipofanya servie litakwenda tu na fundi yoyote ukimpa atategeneza. Ukimsikia fundi anakwambia hizi gari mbaya sana kama wanavyosema siku hizi gari za VVTI au D4 ujue huyo mbulula hana shule na hajui kulitengeneza. na ukimwachia atakuharibia gari.

Nissan X-trail haikuwahi kukwama katika tope, sio chini ya mara moja nimeziacha Rav 4, Suzuki Escudor na Hiluz Double cabin porini mimi nikapasua katika tope, vumbi na vichaka na sikupata shida yoyote. Pia clearance yake chini ni nzuri na sio rahisi kugonga.

Zingatia service yake, na ukifunga spare ni mkataba mwaka sio kama Toyota spare bei rahisi lakini utabibadili tu mara kwa mara na hutakumbuka mwisho wa mwaka umeingia gharama kiasi gani.

Kwa ealuation zaidi soma hapa: https://www.youtube.com/watch?v=GR7kHC6yiQI


Wewe ni Muongo!
Nissan X trail haiwezi kuiacha Toyota Hilux porini hata siku moja! Huu ni uongo mkubwa kwanza Nissan Xtrail ni soft off roader kwa maana ya barabara zenye vijishimo vya hapa na pale sasa huwezi kulinganisha na mnyama wa kazi Toyota hilux ambayo ni really off roader na imetengenezwa kwa ajili hiyo usifikiri ISIS wanaitumia vitani bila ya sababu!

Toyota Hilux ni mziki mwingine acha kabisa, hata Prado inabaki imetumaa kwenye maji wakati hilux inapita!

 


Wewe ni Muongo!
Nissan X trail haiwezi kuiacha Toyota Hilux porini hata siku moja! Huu ni uongo mkubwa kwanza Nissan Xtrail ni soft off roader kwa maana ya barabara zenye vijishimo vya hapa na pale sasa huwezi kulinganisha na mnyama wa kazi Toyota hilux ambayo ni really off roader na imetengenezwa kwa ajili hiyo usifikiri ISIS wanaitumia vitani bila ya sababu!

Toyota Hilux ni mziki mwingine acha kabisa, hata Prado inabaki imetumaa kwenye maji wakati hilux inapita!


Unayo Toyota Hilux? Mimi ninayo Nissan X-trail. Ni PM tuingie porini, nitagharamia, tena sio mbali Kimara, penye tope na utelezi, tutapiga picha tutazileta hapa then tuthibitishe. Toyota Hilux inaweza kufanya vizuri kwenye mashimo (Ingawa inakuwa very uncomfortable kwa sababu ya leaf springs tofauti na Landrover au Nissan Xtrail ambayo ina Coil). Toyota Hilux na Nissan iwe Hard Body au X-trail hainusi hata kidogo kwenye tope na utelezi. Kama huna gari au hujamiliki magari tunayoongelea piga kimya usivuruge mjadala.
 
Unayo Toyota Hilux? Mimi ninayo Nissan X-trail. Ni PM tuingie porini, nitagharamia, tena sio mbali Kimara, penye tope na utelezi, tutapiga picha tutazileta hapa then tuthibitishe. Toyota Hilux inaweza kufanya vizuri kwenye mashimo (Ingawa inakuwa very uncomfortable kwa sababu ya leaf springs tofauti na Landrover au Nissan Xtrail ambayo ina Coil). Toyota Hilux na Nissan iwe Hard Body au X-trail hainusi hata kidogo kwenye tope na utelezi. Kama huna gari au hujamiliki magari tunayoongelea piga kimya usivuruge mjadala.

Wewe Ni Muongo!

Nissan X-Trail in soft off roader na imetengenezwa hivyo usitake kubisha tu! Kwanza hata low range gear haina ni automatic all wheel basi, sasa usitake kushindanisha na mnyama wa kazi Toyota Hilux! Nimekuwekea picha hapo chini uone Toyota Hilux ikiwa kazini!


toyota-hilux-for-is-2-1.jpg
 
Transmission failure, engine inaishiwa nguvu na kuzima ghafla, door handles zinavunjika kirahisi. Front shocks zinaharibika mara kwa mara na niv expensive. Nafikiri around Tshs 700K. Kuna kifaa kinaitwa transfer case, hiki huwa kina tabia ya kuvuja oil kwenye Murano, na repair yake unaweza kuacha gari, mfumo wa umeme unafial mara kwa mara. Hayo ni machache tu, ila yakikupata gari utaiona chungu.

Ahsante sana mkuu.Ukikumbuka problems zingine usisite kutudadavulia.Ndo nipo naifikiria kuinunua hiyo gari but thread hii imenishtua kidogo.
 
nissan zinahitaji discipline ya matumizi sana....hii ikijumuisha uendeshaje wako na mengineyo...ikiwemo na spea..! nina nissan note, ila service yake nia shughuli....gear box oil..NS2 ni laki tatu na upuuuzi....heheeeee

"Nimependa sir muddy ulivyoongea kuhusu gear box ya nissan note"

Kwa ujumla gari haitakiwi kubadilishwa hovyo gear box oil,hata toyota original and recomended oil ya gear box soma kwenye stick ya gear box. Na gharama yake sio chini ya laki na ishirini,ukifuata masharti gari haitoharibika wala kuhitaji kubadilisha oil. Kama hujui jaribu kuperuzi aina ya gari husika walionza kutumia watakwambia behavior zake.
 
na hii tabia mnanunua gari zilizochoka zikianza kuwasumbua mnasema ni gari mbovu muache! ukinunua gari ina miaka kumi au zaidi ni dhahiri kuna vitu kibao lazima vibadilishwe! huko mnaponunua njia zao na matumizi yao ni tofauti na nynyi ndio maana magonjwa yanaanzia hapa!
 
Hapana Bodi sio plastic ni fibre! Ni tofauti kubwa. Unajua kwanini wametengeneza vile? Technolojia hii ni kumlinda mtembea kwa miguu, mtu akigonwa na gari hili kama impact sio kubwa sana hawezi kuumia kwani bodi hubonya na kurudi kawaida. Pili bodi hili ukikwaruzwa au kugonwa kidogo au kuguswa bahati mbaya hubonya na kurudi akama kawaida hivyo kupunguza gharama za kunyoosha na matengenezo yasio ya lazima. Kama zilivyo bampa za magari yote yanayotoka sasa hivi ni ya Fibre na ukigonga au kugongwa nyuma au wewe ukigonga kama sio gari kubwa sana au impact sio kubwa unaweza usijue kama kuna kilichotokea.

Umesahau kusema kuwa fibre inafanya gari inakuwa nyepesi kuliko kutumia bati kama zamani...
Hii teknolojia imefanya magari mengi sana kuwa si mazito kama zamani...
 
na hii tabia mnanunua gari zilizochoka zikianza kuwasumbua mnasema ni gari mbovu muache! ukinunua gari ina miaka kumi au zaidi ni dhahiri kuna vitu kibao lazima vibadilishwe! huko mnaponunua njia zao na matumizi yao ni tofauti na nynyi ndio maana magonjwa yanaanzia hapa!

Watanzania wengi wanapenda vitu vya bure, hawapo tayari kutumia gharama kupata vitu vya uhakika...
Mfano angalia hata kwneye simu, wote wananunua zile za bei rahisi ambazo baada ya muda mfupi zinaanza kuwasumbua halafu wanaanza kulalamika...
Leo hii ukitaka kuomba ushauri wa gari gani la kununua wataishia kukuambia ununue magari hayahaya ya japani ambayo gharama zinakuwa rahisi ila kubwa baada ya muda...
 

Wewe Ni Muongo!

Nissan X-Trail in soft off roader na imetengenezwa hivyo usitake kubisha tu! Kwanza hata low range gear haina ni automatic all wheel basi, sasa usitake kushindanisha na mnyama wa kazi Toyota Hilux! Nimekuwekea picha hapo chini uone Toyota Hilux ikiwa kazini!

Hapa ni offroad mkuu??
 
Unayo Toyota Hilux? Mimi ninayo Nissan X-trail. Ni PM tuingie porini, nitagharamia, tena sio mbali Kimara, penye tope na utelezi, tutapiga picha tutazileta hapa then tuthibitishe. Toyota Hilux inaweza kufanya vizuri kwenye mashimo (Ingawa inakuwa very uncomfortable kwa sababu ya leaf springs tofauti na Landrover au Nissan Xtrail ambayo ina Coil). Toyota Hilux na Nissan iwe Hard Body au X-trail hainusi hata kidogo kwenye tope na utelezi. Kama huna gari au hujamiliki magari tunayoongelea piga kimya usivuruge mjadala.

Toyota Hilux ni matatizo sana offroad hasa wakati wa matope, nilishawahi kutumia Hilux toka Bagamoyo kwenda Tanga kwa njia ya short cut wakati wa mvua...
Ile gari ilifika sehemu ikanasa na tulivyolazimisha zaidi ikaanza kupitisha matope hadi juu ya injini...
Ilibidi ije kubebwa tu kupelekwa garage na kubadili mfumo wa injini wote...
 
ukiona unalalamika kuhusu spea ujue kipato chako bado hakiruhusu kumiliki gari husika. wacha wenye pesa watembelee x trail bwana. we tembelea hizo unazozimudu
 
Back
Top Bottom