franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
x-trail majanga mjomba, nilinunua november 2008 kufika januari 2009 inaanza kuzingua nikapeleka kwa fundi akanipiga kama laki 9 kutengeneza fundi akashauri nibadilishe engine nifunge engine ya RAV4 nimefunga sasa inapiga kazi ila bodi ndo imetepeta kama mbooh iliyotoka kupigwa Punyettoo