Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania


Ukishaangalia hivyo angalia pia na upande wa mchangiaji kwa jinsi anavyoumia
 


Kuchangiana na kusaidiana ni mila zetu hatuwezi kuziepuka bila kuacha madhara tupo kwenye mtibwiliko wa maisha kuanzia kiuchumi mpaka tamaduni zetu sasa la muhimu ni kujua ni vipi na kiasi gani tunasaidiana!!!

Nashukuru lile jibu langu la kwanza limefanya kazi,nilikusudia kuamsha hisia juu ya tamaduni zetu kuwa sis ni wamoja tusiharibu hii ila tujadili jinsi ya kuendelea nayo bila ya kuumia
 
Waliooa na kuchangiwa ndo wanajua umuhimu wa kuchangia wengine.
 

nna watu tangu tuachane miaka 5 sasa,ila walipotaka kuoa wamesumbuaaaaaa,na baada ya ndoa wamepotea tena,,,,,
harus nzuri na ya heshima ni ile isiyohitaj michango toka kwa watu
 

Mawazo ya kijinga kabisa haya, hizi mila za kijiga kawashauri wamasai wenzako.
 
Mawazo ya kijinga kabisa haya, hizi mila za kijiga kawashauri wamasai wenzako.

We ni kabila gani ambalo kaburi mnachimba wafiwa wenyewe? ????????

Give and take haiishii harusini tu.

Jaribu kufikiria uhalisia wa maisha mjinga wa ukubwani wewe..say sisi wamasai wajinga kama unavyodhani wewe ni kabila gani ambaye mwenzetu kabila na mila zenu zinawasisitiza juu ya kutokusaidiana????

Mjinga kama wewe bila ya authority huwa hamulewi sasa mimi najitolea kukupa distance learning,kasome theory hizi halafu na wewe unipe nikasome ili mjadala uende

1. Structural functionalism
2. Symbolic interactionism
3. Social construtionism of reality

Ujinga ni sehemu ya kujifunza kwa anayekubali mapungufu na kwa nayegomea mapungufu hakika upumbavu hauko mbali naye..will be back kama utaleta nadharia na vitendo sio kubisha tu
 
Wadau hii michango imekuwakero sasa,

binafsi mpaka sasa hivi nina kadi 6 za michango,simu kila mda inapigwa kukumbushwa michango,sms

ndo usiseme.


Inatubidi kubadilika kabisa na hii michango isiyokuwa na tija zaidi ya kuacha madeni na lawama.

Unapigiwa simu kila mara kama unadaiwa vile.


Kama na wewe umekutana na kero yoyote embu tujuze hapa na nini suluhisho?
 

1)Unapokea zanini hizo kadi?
2)Hata ukipokea umeambiwa usipochangia unapewa adhabu?
3)wape makavu laiv kwamba hautaki wakupigie sim au wakutext' au unawaogopa?
 
Duh..kadi 6..ukisema kila moja utoe elfu 50..ni laki 3 iyo ahaha pole.
 
1)Unapokea zanini hizo kadi?
2)Hata ukipokea umeambiwa usipochangia unapewa adhabu?
3)wape makavu laiv kwamba hautaki wakupigie sim au wakutext' au unawaogopa?

mkuu nitajikuna pale ninapoweza tu basi
 
Mkuu wala usihofu, mchango wa harusi siyo lazima. ukiwa na nafasi unachangia usipokuwa na nafasi unamwambia ukweli mhusika ili ajue uko under tight budget.
 
Duh..kadi 6..ukisema kila moja utoe elfu 50..ni laki 3 iyo ahaha pole.

kati ya hizo mkuu kuna kadi mbili wameandika kabisa mchango sio chini ya laki moja,kuna raia wengine sijui huwa wanafikiria kwa kutumia ma------?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…