Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Kuna kitu inaitwa kuvunja kamati imekaa kifisadifisadi hivii!!
 
Hivi dunia ya leo mtu unafanya harusi hujajiandaa uba kazi ya kutuma sms kla dakika kuuliza michango?? Hebu tubadilike,fanya jambo ambalo lipo ndani ya uwezo wakoacha kusumbua watu.nakumbuka wakati wa harusi yetu,tulijipanga,tukakusanya pesa zilipofika 7 mill,tukatangaza harusi,watu 70 tu ndio tuliwaalika,hatukumchangisha mtu,ila ilikua harusi nzuri sana,kila kitu kilienda kama tulivyopanga,na mpaka leo tuanaishi kwa upendo na furaha
 
sisi watanzania hatupendi kuwajibika na kufanya kazi kwa bidii, unakuta jamaa lofa tu wa kijiweni anatengeneza kamati nzuri ya harusi na kukusanya Mil. 6 au zaidi, then anafanya harusi ya kifahari, that is irresponsible and corrupt behavior!

mimi na my wife wangu tulibariki ndoa bila sherehe mapema alfajiri, na niliwahi kazini saa moja na nusu asubuhi.Total cost haikuzidi Sh. ELFU HAMSINI!
 

Yaani hapo amekusaidia kwani unamwambia sina uwezo nina majukumu mengi kwahiyo kama yuko radhi apokee kilichopo kama hataki basi akusamehe tu
 

Mkuu hippocratessocrates nina kadi nitakuletea jioni ya Send off na Harusi ya dada yangu! Tafadhali usizime simu!
 
Last edited by a moderator:

Nafikri katika hili serekali ya dhaifu inatakiwa iweke masharto magumu ya kodi labda watu wakiona fedha yao yote inaishia kwenye kodi tutaacha huu upuuzi! Watu wanalazimisha kukuita kwenye kamati kuu, halafu wanapanga elfu 50 yaani uchimung'unye wala uchicheme!! Hapo hapo unakuta una harusi kama 4 kwa mwezi, sasa hiyo si laki 2 jamani?
 

big up
 
Aiseee mimi kuna baadhi ya watu au makabila sichangii mpaka nijui viwango vyao vya uchangiaji. Yaliwahi kunikuta, nimemchangia mtu fulani 80,000 mtaani halafu sikupewa kadi. Baada ya sherehe jamaa mtaani wakaniuliza mbona sikuonekana kwenye send off party ya jirani, nikawajibu nilichangia lakini sikupata kadi, ndiyo nikafahamishwa kwamba wote waliochangia chini ya 100,000 hawakupewa kadi hata ya single....
 
we acha tu sisi wengine tulichangiwa, basi sahizi tunakazi ya kulipa fadhila ni kadi kila leo mweee na kukataa huwezi
 

Swadakta..hapo umenena sawa mkuu. Iweje uwezo wako ni wa 1mill Ulazimishe sherehe ya 10mil.eti kisa sherehe ya fulani ilipendeza...nakt, siungi mkono hata kidogo
 

Alafu sasa utakuta mtu hamjawasiliana kwa zaidi ya hata miaka minne, ghafla unaona anakutafuta akidai umepotea sana na anakusalimia tu. Then siku mbili zijazo unaona msg ya kikao cha kwanza cha harusi, hujakaa vizuri anaanza kukung'ang'aniza ahadi cjui pledge then unaamua kumchangia, sasa ckilizia iyo follow-up anayoifanya utadhan unataka kumzulumu haki yake ya kuishi!! Sikuizi wala hata cjusumbui, na isitoshe kausafiri kanakula mafuta kweli kwa ajili ya foleni bac ni fasta tu jibu la cjapata linatoka!
 

mwe mwe jamani pole sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…