Nami naomba kuuliza:
Je serikali ina mpango gani kuhusu mapato ya ma MCs, maholi ya starehe, wapambaji, wapishi wa sherehe? Je hawa hulipa kodi kwa mapato yao??
Michango inayochangwa kwa ajili ya harusi nayo ingetozwa KODI YA MAPATO. Nawasilisha
Je serikali ina mpango gani kuhusu mapato ya ma MCs, maholi ya starehe, wapambaji, wapishi wa sherehe? Je hawa hulipa kodi kwa mapato yao??
Michango inayochangwa kwa ajili ya harusi nayo ingetozwa KODI YA MAPATO. Nawasilisha