Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

hili ni janga wandugu lazima tubadilike! yaani kwa mwezi usipokuwa makini utachangia 1m. Mie kuanzia sasa nitatoa michango ya ada, ugonjwa na kanisa kwishney
 
Huku ni kuendekeza ujinga tu. Mara nyingi si vijana wanataka hivyo, ni wazazi ndio wanataka sherehe kubwa. Wana misemo yao "mi ndio mwenye harusi we wako mke tu" au "nimeshachangia sana sasa zamu yangu kuchangiwa"
Mwisho wa siku ni kijana ndio anahangaika kukimbia huku na huku kukusanya hiyo michango. Halafu watu wanakula milioni kadhaa kwa masaa machache, maharusi wenyewe hawana cha kuanzia maisha. Ni ujinga mtupu.
 
PRINCE CROWN, Tofauti ya nchi zilizoendelea na zisizoendelea si teknolojia au miundombinu, bali ni jinsi watu wa nchi hizo wanavyotumia muda na akili kufanya mambo ya maana. Miafrika tupo tayari kuchangia harusi hata 10 kwa mwaka na kuhudhuria vikao kila weekend, hawajui kuwa muda ukishaupoteza hauwezi kuupata tena hata kama uwe mchawi wa Sumbawanga
 
HARUSI MOJA MICHANGO LUKUKI
  1. Kapu la mama
  2. Kicthen party
  3. Bachelor's part
  4. Send-off
  5. Hrausi
  6. Michango ya zawadi ofisini
  7. Michango ya kugharamia wawakilishi wa ofisin, kama harusi inafanyika mbali na kazini

Irresponsible life/corruption behaviour! halafu jitu zima linakununuia kwa sababu haujamchangia moja ya vipengele hapo juu, kwani unaniolea mmi? she....zi na Pum...fu zenu!

Na kila kimoja kinasare yani wife anangua mpaka tumezipa majina ya maharusi mfano leo vaa gauni ile ya kwa dori.
 
Ndio with kids tayari, na nilioa bila sherehe ya kuchangisha watu. tulienda church baada ya hapo chakula cha mchana na wapambe na ndugu wachache basi, na ndoa inadunda tu.

safi sana mkuu, SAFI SANA!
 
Kuna send off imeanyika jana du ni hatari unanyweshwa mpaka unakimbia, chupa ikifika nusu nyingine inaletwa, halafu watu wanakunywa kweli kweli mpaka mtu anashindwa kubeba sahani ya chakula kalewa chakari loo, ukinywa juice yanaletwa mabox mawili eti endelea, hii si kufuru jamani kwa nini isiwe kiasi tu? Halafu watu hapa JF ni wanafiki kweli mchango wa wagonjwa hatukujigusa ila eti harusi ndio mpango mzima kweli? Kuna haja ya kujifikiria upya harusi si mbaya ila kunywa na kuacha vinywaji nusu mwisho vinamwagwa kwa nini chupa ya maji ya kunywa mtu ananawia mikono na kuicha nusu itupwe. Hapana basi bora hizo fedha zingetolewa hata fungu la kumi kama sadaka ya ndoa. Kufuru ni chukizo mbele za Mungu.
 
itafikia kipindi nitakosana na jamaa zangu hapa nilipo nina kadi 10 huku ni kuumizana
 
wazee nashangaa mmaongea harusi na michamgo harusi zenyewe zi wapi??they marry 2dy next week you find them seiking divorce at court of law! why but...should u indulge urself domesticating a cow when you can get a litre of milk from a kiosk????!!!
 
Wajanja huchangisha kisha kuandaa harusi kinyume na Michango ,Michango ni Majanga wapo wengi wamenuniana kisa hawakutoa Michango !
 
wazee nashangaa mmaongea harusi na michamgo harusi zenyewe zi wapi??they marry 2dy next week you find them seiking divorce at court of law! why but...should u indulge urself domesticating a cow when you can get a litre of milk from a kiosk????!!!

Ndio Maana Ulaya Hakuna kitu kinaitwa Michango ya Harusi ,Ukijisikia kuoa unatoa pesa yako watu wanaalikwa kuja kujichana pasipo na pressure ya Michango na Zawadi, watanzania huwa ni wepesi wa ku-copy sasa nawaasa wai-copy hii staili ya Ulaya angalau itasaidia kupunguza Usumbufu na uhasama kwa wale walioshindwa kuchanga.
 
itafikia kipindi nitakosana na jamaa zangu hapa nilipo nina kadi 10 huku ni kuumizana

Michango huzaa chuki,fitna na lawama pindi Mtu akishindwa kuchanga ,hv sasa kuna watu wamekosana,wamechuniana, hawaongei kisa Michango ya harusi ,sasa na wewe jiandae kwani hapo umekaribisha Majanga !
 
Huku ni kuendekeza ujinga tu. Mara nyingi si vijana wanataka hivyo, ni wazazi ndio wanataka sherehe kubwa. Wana misemo yao "mi ndio mwenye harusi we wako mke tu" au "nimeshachangia sana sasa zamu yangu kuchangiwa"
Mwisho wa siku ni kijana ndio anahangaika kukimbia huku na huku kukusanya hiyo michango. Halafu watu wanakula milioni kadhaa kwa masaa machache, maharusi wenyewe hawana cha kuanzia maisha. Ni ujinga mtupu.

Starehe Binafsi inakuwa kero kwa wengine ! Tubadilike sasa .
 
Napata kadi za kuchangia harusi karibu kila mwezi naletewa karibu kadi 3, @50,000 approximately =150 , 000 .
Haya majanga sana ,mshahara wangu 550,000 , which means 30% michango harusi ,Ninaacha haya mambo ,mimi mwenyewe sitafanya hiyo mambo, yaani kila weekend tupo busy kuchangisha h arusi ,kama tunataka kutokomeza umasikini na wakati tunatiana umasikini ,siwezi tena.Jamani kama huna uwezo usisumbue watu bwana ,funga ndoa ya kawaida tuache mambo ya kuiga


Aisee imakera sana ukizingatia bajet yako inagoma alafu unaacha kuwaza ni kwa namana gn utaiweka bajet yako sawa unawaza michango ya kadi 10.Duh kama hujajiandaa funga ndoa yako kimya kimya bn na c kutupa stress hapa
 
Back
Top Bottom