Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Ndoa ni sakrament (kile kitendo kinachofanywa na padri/mchungaji/sheikh cha kuwaunganisha) na harusi ni ile sherehe ya kusherehekea tukio hilo. Ndio maana unaitwa mchango wa harusi na sio mchango wa ndoa!Ndoa nn harusi nn changanua