vlazarowosky
Senior Member
- Nov 9, 2014
- 173
- 285
Neema iwe kwenu.
Michango ya harusi inanirudisha nyuma kimaendeleo. Nina kibarua mahali na ninalipwa hela ndogo tu wala haizidi laki 8, sasa kila nikiibajeti kufanya mambo yangu nakutana na kadi ya mchango wa harusi (kitchen party, send off etc). Halafu cha kushangaza ni kwamba hizi kadi za michango zinatoka nyingi kwa wanawake ambao ni ndugu, jamaa na marafiki. Katika kadi za mchango tano naweza pata labda moja tu toka kwa mwanaume.
Hapa kwa kweli nikiangalia na kutafakari kutusua itakuwa ngumu sana, niko social hivyo wigo wangu ndugu, jamaa na marafiki ni mkubwa na hawasiti kunipa kadi.
Wenzangu mlio katika hali kama yangu mnafanyaje?
Michango ya harusi inanirudisha nyuma kimaendeleo. Nina kibarua mahali na ninalipwa hela ndogo tu wala haizidi laki 8, sasa kila nikiibajeti kufanya mambo yangu nakutana na kadi ya mchango wa harusi (kitchen party, send off etc). Halafu cha kushangaza ni kwamba hizi kadi za michango zinatoka nyingi kwa wanawake ambao ni ndugu, jamaa na marafiki. Katika kadi za mchango tano naweza pata labda moja tu toka kwa mwanaume.
Hapa kwa kweli nikiangalia na kutafakari kutusua itakuwa ngumu sana, niko social hivyo wigo wangu ndugu, jamaa na marafiki ni mkubwa na hawasiti kunipa kadi.
Wenzangu mlio katika hali kama yangu mnafanyaje?