Genius Messi
Member
- Oct 14, 2017
- 74
- 52
Pengine niseme sasa wa tz tubadilike,tuanze fikiria sasa bajeti ndogondo za sherehe na hata kumbi na idadi ya wageni iwe ya chini ili tusiumizane kwenye michango!hali ni ngumu jamani,hali ni ngmu!!Kuna Kodi za nyumba,Ada,matumizi ya kawaida na mipango mingine ya kimaendeleo vyote vyataka pesa!
sasa ukitoa mchango harusi moja na nyingine baada ya wiki 2 mwwingine anaeta kadi...eeh ukiacha lawama mwaka unaenda mambo yako yanazotota!..jamani tuhurumiane..vyuma vimekaza mno!!
sasa ukitoa mchango harusi moja na nyingine baada ya wiki 2 mwwingine anaeta kadi...eeh ukiacha lawama mwaka unaenda mambo yako yanazotota!..jamani tuhurumiane..vyuma vimekaza mno!!