Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Ahahahha hapo Ali surrender mwenyeweee ndiooo dawaaa yaooo hiooo

Tena baada ya kujileta mwenyewe akawa anamponda sana mchungaji wake kwamba alikua anamdanganya. Mimba ni dawa ya nyodo zote.
 
Ni kweli hamjui sababu au mnataka kujifanya mna akili nusu..??!! usipochanga harusi na wewe huchangiwi.., na kila ukikutana na yule uliegoma kumchangia unaona aibu na kumkimbia mpaka kifo. Usipochanga elimu nani atakuandama kama nzi.., hakuna. Hii ndio sababu.
 
Ni kweli hamjui sababu au mnataka kujifanya mna akili nusu..??!! usipochanga harusi na wewe huchangiwi.., na kila ukikutana na yule uliegoma kumchangia unaona aibu na kumkimbia mpaka kifo. Usipochanga elimu nani atakuandama kama nzi.., hakuna. Hii ndio sababu.

Sioni Aibu hata, tena nitakuambia live, sitaweza HUO uwezo sina kabisa
 
Sichangii harusi Leo na milele period:thumbdown::thumbdown::thumbdown: mtu akitaka kuoa ajipange. si kufikiria atapata hela Kwenye mifuko ya watu laaah halaf budget milio. Kumi ye anatoa laki 5

Nonesense
 
kama sehemu ya jamii fulani inakubaliana nayo na wapo confortable let it be...wala hakuna shaka, if hukubaliani nayo just let it go...zero stress ha haa..
 
Ni kweli hamjui sababu au mnataka kujifanya mna akili nusu..??!! usipochanga harusi na wewe huchangiwi.., na kila ukikutana na yule uliegoma kumchangia unaona aibu na kumkimbia mpaka kifo. Usipochanga elimu nani atakuandama kama nzi.., hakuna. Hii ndio sababu.

Mawazo ya kimasikini haya...! Kwani lazima kuoa kwa harusi?
 
Hakuma jambo nachukia kama hii machango ya kipuuzi...haiwezekan starehe zako mwenyewe usumbue watu,,watanzania tunatakiwa kubadilika...!
 
Harusi humchangii mwenye harusi unatoa hela ya kutumia wewe mwenyewe.....utakula chakula,vinywaji,unaburudika na muziki kidogo na kurefresh wakati mtu akienda kusoma hela yako hairudi na hufaidiki na chochote kwa hela uliyotoa

Na kukutana na wale mliocheza kombolela.....ndo maana harusi haikosi michango, hata ukisema single tsh 0.5million watatoa tu.
 
Nafikiri shida kubwa ipo kwenye nmna pesa inavyotumiw na kamati ktk kukamilisha zoezi Zima la sherehe. Lbd tungejitahidi kubadili hii mitazamo iliyopo kwenye hizi kamati za sherehe badala ya kutumia pesa yote kwenye sherehe kuwe na utaratibu wa kumuinua/kuwainua maharusi kama vile kuangalia mambo muhimu ambayo hawana. Kwa bahati mbaya sisi si wakweli iwapo maharusi wataamua kutumia pesa za michango kwa maendeleo yao basi utasikia mengi.

Tatizo lipo kwenye jamii haina nia thabiti ya kusaidiana

Point kabisa
 
Mi kiukweli wazazi wangu washachanga sn ila nikaona sio issue.
Ctaki kumchangisha mtu!

Ht mwanaume wangu Nitamwambia na tukubaliane no kamati, ndugu wa karibu tu tunawapa plan yetu tunataka iweje basi.
Tunafanya kutokana na uwezo uliopo
Na ikitokea imechangwa pesa kwa watakaotaka kuchanga bajeti ni ile ile hyo nyingine bora tufanyie mambo ya muhimu. ...
Mambo ya kufanya sherehe kubwa baada ya sherehe mnaanza kuhangaika maisha magumu ctaki kabisa.
 
Mimi nitachangia kama nitakuwa na hiyo hela vinginevyo utapokea kile nilicho nacjo
 
Wanaume tuwe na msimamo thabiti katika kupunguza gharama za harusi. Huyu ndugu yangu muhehe nimemkubali sana. Hakubeba kapu kuomba omba na kufanya usumbufu kwa watu. Kawaida wanawake ndio wanao fanya msukumo kutaka sherehe ya harusi iwe vipi. Ila huyu ndugu akafanya kulingana na bajeti yake na sherehe ilinoga sana.

Natupia picha moja tu kuwa kieleleza cha kuweza kuokoa 300,000/= mpaka 500,000/= za keki na kuweza kutumia 15,000/= tu

14985_10152727094810053_2963417829821603780_n.jpg
 
Back
Top Bottom