Chimps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 559
- 356
Mshahara wako ni kiasi gani?maana nakufahamu wewe ni kuli bandarini
Hahahahahahah,
Asante mkuu
Mshahara ni siri yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wako ni kiasi gani?maana nakufahamu wewe ni kuli bandarini
Mkuu cijalalama hapa na jaribu kuleta kwenu ...wadau nyie mnalionajeChukua hatua acha kulalama
Habari za muda huu wana jf
Takribani.....miongo...kadhaa imepita..watu wa jamii tofauti tofauti tumekuwa na mazoea ya kila MTU akitaka kufunga ndoa basi lazima aandae kadi kwa ajili ya kupitisha kwa watu apate mchango..kwa ajili ya kufanya sherehe kubwa ya harusi...natambua ni kweli watu tofaut tofaut hali ya uchumi sio nzur lakini...kwa upande mwingine naona ni vema Muhusika na mwenz wake waandae sherehe ndogo itakayo endana na hali yao ya kiuchumi kuliko kuanza kusumbua watu na hizi kadi za michango...imefika wakati MTU kwa mwaka unapokea kadi za michango zaidi ya 40 ....sasa kwa hali hii kwel c kurudishana kwenye umasikini...
Nawasilisha....
Hicho ndo kinacho niudhi kupangiwa kiwango...hapo ndo sitoi kabisa huwezi juwa uwezo wangu. Sisi waafrica tunapenda harusi kubwa nawaonea wazungu raha wanafanya harusi kwa uwezo waoKiukweli kwa sasa wamezidi mtu kila ukirudi nyumbani card za michango ya harusi zamani utachangia ulichonacho cku izi na kiasi wanaandika wao kama wameweka mfukoni kwako.
ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jamaa mmoja Dar anahusika na biashara za kufunga mizingi na rims kwenye magari, huju jamaa alifanya kitu SAFI SANA alikusanya michango kama 30mil baada ya hapo akasambaza kadi za harusi, siku moja kabda ya harusi akatuma taarifa kuwa harusi inafungwa kama kawaida lakini sherehe ya harusi imesimamishwa ghafla kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake na kuwa angewajulisha ni lini sherehe itafanyika....huu ni mwaka nne kinywa hakuna sherehe na 30mil kamalizia nyumba yake mbezi.....hii safi sana...wabongo mkome kutoa michango
Haaaaa wakome wanaochanga mi sipo kuchangia watu nisio wajuwa au watu wa mbali mimi nachanga misiba number 1.harusi mpk nikujuwe sana vinginevyo bye bye haaaaaaha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama mimi tu haaaMimi natoaga rambi rambi tu, mambo ya upuuzi wacha wanichukie tu!