HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 713
MSIISHIE KUSEMA MICHANGO NI MWIBA, FANYENI UAMUZI. MKIBAKI NA MENTALITY ZA KI TZ MNAOZA.MSIONE AIBU KUMWAMBIA MTU SINA PESA YA MCHANGO.
mimi nikikutana na m tz nje ya nchi kudadeki namkwepa..... kuaibishana tu. wote tu masaburi sisi wa tz. inakera kila siku tunajijadili kama wapumbavu
mimi nikikutana na m tz nje ya nchi kudadeki namkwepa..... kuaibishana tu. wote tu masaburi sisi wa tz. inakera kila siku tunajijadili kama wapumbavu