Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Hivi kuamua kuacha kuchangia harusi mpaka utambie nasi, si uamue mwenyewe! Serikali itatoza vipi kodi mara mbili wakati kila supplier amekwisha lipa kodi kwa bidhaa anayopeleka kwenye sherehe?
Lazima kwanza uelewe maana ya hizo sherehe hasa send off na reception. Hivi umelazimishwa?
Lazima kwanza uelewe maana ya hizo sherehe hasa send off na reception. Hivi umelazimishwa?