Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 448
kinachonikera zaidi ni hii
utakuta watu wameshakaa pamoja wana watoto tena wawili wana umri miaka mitano eti utasikia tuna funga ndoa na kadi za michango kuanzia kitchen party, Send off na harusi
sasa wewe mama mzima na kuzaa mmemaliza unataka kitchen party ya nini, Send off uagwe uende wapi wakati uko kwa mwanaume zaidi ya miaka 6.
si bora mbariki ndoa yaishe
Ndio yale mtu anamuoa mke wake
Khaaaaaaaaaa!