Kabla ya kuwa negative kuhusu mfumo huu wa uendeshaji harusi, ni vizuri ukajiuliza maswal yafuatayo:
1.Unataka 'harusi' ya namna gani?!
Kumbuka 'ndoa' ni yako lakn 'harusi ni ya familia, ndugu wa karb, jamaa na marafk, then kama hutak sherehe unatakiwa uwashinde hawa kwanza ... na malalamiko yote ambayo yanaweza kuwa na madhara kwenye ndoa yenu yataisha na kila kitu ktakua poa!
2.Uwezo wako kifedha upoje???
Ipo hv, kama wewe n milionea kwanini uwachangishe watu?Andaa reception mwenyewe na ualike tu watu waje kutumbua .. usiogope, hutakua mwenyewe, wapo weng wanafanya hvyo na utakua umekata ile cycle ya utamaduni wa kuchangishana!!!
3.Umeolewa ama kuoa??
Nategemea wengi walioolewa ama kuoa wasikuunge mkono, kwan majority harus zao zlfanikishwa sana na mfumo huu wa kuchangia gharama ... kama ulvyosema, endelea kuomba MUNGU harus yako ifke then ndo ujue hv vtu vnafanykaje!Ving haviend kama unavyodhan ...
4.Umelazimishwa kuchangia??
Kwa asilimia kubwa jbu n hapana, unaouamuz wa kuchanga ama la, na amini its a gamble wasio kwenye ndoa wanalazmka kuchangia kwa munajl wa kuchangiwa muda wako ukifka!!Najua waliokwenye ndoa hawawez kulalamika kwan ndoa yenyewe n 'taasis' inayojtegemea hvyo kad zszo na tija huwa wanaztupia chn ya uvungu kmya-kmya!Anza leo kutochangia utengeneze a good cycle ya kutochangia ambayo victim wa kwanza utakua wewe!!
Mwisho, let me show my interest now, mine expect to be on early october so exposure yangu kuhusu hii ishu!!!Ushaur kwa wakaka tu, creat as many g'd friend as u can ili siku hyo ikfka upate watu wa kufurah nao hata kama htawachangia ....
THX