Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Kuna Genocidals humu yaani hawatulii bila kuleta negative threads za Kagame na Rwanda.
Ukisoma threads humu JF utasema Rwanda hakukaliki kumbe stori zinaishia humu humu...uzuri wanyarwanda wengi JF hata hawaifahamu na kiswahili hawaelewi hivyo kelele zote hizi hazina impact yoyote kwa wahusika..
Unadhani adui ataandika nini zaidi ya kutunga hadithi!!
Hiki kitabu pamoja na vingine havina ukweli wowote ni propaganda za maadui wa Kagame..
ya wanyarwanda hayatuhusu,tupo concerned na kile anachokitafuta Tanzania,atuondolee u shetani wake,askari wetu siku hizi congo wanakufa hovyohovyo kama sio majshi yake ni nani tena?
 
Hivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa shushushu wa kagame haya nenda kamuambie ulichokikuta humu JF ulinde ugali wako haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nikawa nashangaa mbona kama kagame anapagawa mara agombane na burundi sijui wafungiane mipaka mara agombane na museven kumbe anajua soon jamaa wana m fix da ila kaua sana rafiki zake ngoja akipate cha moto alafu wapinzani naona wameungana saizi wanashuka nae jumla jumla in Mwanri voice
Na kikwete pia alimtunishia msuli. Ila hawezi kuja na hoja nyepesi nyepesi kwa magu. Atamaliza
 
Ila huenda maana hata aliyetuumba nae huenda ikawa propaganda maana hatumuoni, au baba yako nae ni propaganda maana unauhakika gani kama ni baba yako? Au hata mwanao pia huenda akawa propaganda, wakati mwingine tuwe tunawaza vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu huyo achananae mkuu kuna watu wanavichwa vigumu sana vya uelewa huenda hata darasani walikuwa ni zero zero tu.....hawaamini kwa kusikia mpaka waona katika iman tunaamini yupo mungu lakini hatujawahi kumuona kwa macho lakini imani yetu imejaa kwake maradufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mleta uzi ni muhimu kusoma hicho kitabu ukiwa na Akiba ya jicho la tatu. Haifai kuweka hapa maandishi na simulizi na madai ya huyo mwandishi ukasema ndio ukweli na kuanza kumhukumu Kagame. Tungepata vitabu kadhaa vya pande mbili au hata pande 3 tujue ukweli umelala wapi. Lakini kumsikiliza huyu bodyguard mmoja sikubaliani nayo kabisa. Hata mimi nitakitafuta kitabu hiki nikisome na kuendelea kufanya utafiti Zaidi kuhusu Kagame, lakini ukweli ni kwamba kwenye kuongoza haswa unapotaka kuweka mambo sawa hutakosa maadui huo ndio ukweli. Kuna mengi mazuri na mabaya mengi tunasikia kuhusu Kagame lakini pia tunasikia Rwanda inaendelea vizuri sana kiuchumi sasa labda Wanyarwanda watuambie kama Kagame amesaidia nchi au la. Kwenye kuongoza nchi na kuleta mabadiriko ya jamaa mengi sana mabaya hupitiwa hakuna taifa lilifanikiwa duniani bila kupita kwenye wakati ambao sio wa kujivunia soma nchi za Ulaya, Marekani, Asia wenzetu walipita vipindi vibaya sana lakini leo wako wapi…? Hebu tuwe na akili ya mtu mzima.
Unataka kusemaje.... Kagame ananyoosha nchi kama Gadafi eti ...
 
Nimeyasema humu ndani kua mwandishi katika baadhi ya mambo ametia chumvi watu wakaanza kuniuliza kama mimi ni mhutu au mtusi? Mimi sio mnyarwanda lakini namjua huyu mwandishi. Kwanza tukumbuke ana miaka 19 hajakanyaga Rwanda, lakini ameachambua mambo yaliotokea huko baada ya yeye kutoroka nchi as if alikuepo. Ni vizuri pia kutomfanya kua only our reliable source ya yaliotokea. Katika kitabu chake hakuna mahali aiposema kua kuna hata operation moja aliohusika/shiriki. Za kuambiwa......

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kakulazimisha usome?, Acha shobo utabongolewa marinda hayo!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo fala na jamaa mwingine kabare sijui mafala sana, wana shobo za kijinga. Eti Wanyarwanda hizi nondo hawasomi eti hawajui kiswahili wakati watu kibao wamezaliwa nyarugusu.

Mwambieni basi azime mtandao Rwanda yote Kim Jong Un atamsaidia hiyo Kazi ka inchi kadogo kale, halafu wote tulio comment hapa wapigwe na wote wenye negative thoughts kwa PK wawe eliminated mara moja

Nadhani kuna wachumia tumbo kwenye uzi huu wanataka kutuambia eti rwanda ni bustani ya edeni sasa tunaona wivu sisi mashetani ha ha ha.

Dunia imebadilika wajomba the cat is out of the bag, nondo kibao tutasoma.l,

Huyu PK anafanana na yule jamaa wa Gambia aliyekuwa anavaa nguo nyeupeee na Quran mkononi yeye mwenyewe alikuwa mweusi tiiii. Alisema aligundua dawa ya HIV. Siku alipokimbia nchi alipitia benk kwanza ha ha ha

Halafu wajinga wote waliokuwa wanamsifia yule aliyetimka wakabadili gia juu kwa juu.

Hawa jamaa mwisho wao ovyo sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sasa yanatokea huku kuna kundi linaamini jiwe ni mungu mtu baadhi ya wabunge wameanza kampeni ya kumuongezea muda wanaopinga wanaitwa wasaliti jamaa anaiga mambo ya rwanda watanzania tuwe macho hapa sasa kuna funzo picha limeanza kuja
Mkuu umepotea sana, vipi kazi zimekuwa nyingi? Nilizoea kuona michango yako mingi, siku hizi imepungua sana. Kilangila.
 
Stori hizi zilianza zamani, wengi tumeshazizoea! tatizo wanaoanzisha hizi threads ukiongea tofauti namafikilio yao basi wataishia kukutukana tuu hhhaa!
 
Hata biblia ni kitabu cha zamani mjomba kama sio za kweli mwaga nondo zako na wewe acha sisi tuchambue mchele. Nondo kwa Nondo nyambaf, sio kulia lia ohh mwongo hajasoma alikuwa junior officer.deteva wa Tank.

Vinginevyo kitumbua chako kwa PK kimevunda, pale " bamisa House" PK anataka wachapa kazi.

HA ha ha PK noma sana, eti aliwaamuru maafande fulani kumgegeda mtungo dada moja.



Stori hizi zilianza zamani, wengi tumeshazizoea! tatizo wanaoanzisha hizi threads ukiongea tofauti namafikilio yao basi wataishia kukutukana tuu hhhaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom