Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

Hivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Je hizo points zako zinafanya alichoandika kuwa ni uongo? Nafikiri jamaa amekuja na evidence nyingi. Ni vyema basi ukashawishi uongo wa huyo Marara angalau kwa kutupa ukweli mbadala wa hicho alichaandika. Matukio aliyoaanisha Marara ni mengi, hebu tupo story ya uoande wa pili mkuu otherwise tutamuamini Marara
 
Mi ngoja nisubiri Kabumbu la ukweli Barcelona tukimgaragaza Man U mara nyingine. Nadhani kipa wa Man U atakuwa nyota wa game.

Kitabu naweka juu ya kabat

Ova and out


Sent using Jamii Forums mobile app
 
For sure bado Nina Imani na TISS na JWTZ

UTAMU WA NGOMA,INGIA NDANI
UKIWA NJE,HUWEZI ELEWA KITU

Sent using Jamii Forums mobile app
mh labda TISS ya zamani sasa hivi kila idara serikalini inamsikiliza mtu mmoja,wangekuwa wanafanya kazi yao kimakini wasimgemruhusu jamaa kumkumbatia kagame kichwakichwa hivi ,najiskia hadi kutapika nikikumbuka alivyosema ataleta vijana wa Rwanda wa IT kwa ajili ya ATCL
 
Acheni propaganda mna uhakika kilichoandikwa humo ni ukweli???
Hamna tofauti na wapiga kahawa wa kijiweni jamaa kama ana uhakika kagame kaua watu wote hao si ampeleke mahakamani??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Asante mkuu,ni muhimu tujue haya yote sababu system ya awamu ya tano ilivyomkumbatia huyu mtu inasikitisha sana haswa ukichukulia awamu hii imejaa wachumia tumbo,hawaangalii mbele future ya watoto wetu,naogopa sana Tanzania ya mbele nina hakika mr slim anatujua hadi chupi yetu sasa hivi.TUKIMALIZA HUU MJADALA NITAWEKA LINK NYINGINE YA KITABU CHA DAVID HIMBARA ALIYEKUWA MSHAURI MKUU WA KAGAME KINAITWA KAGAME'S KILLING FIELDS
Mkuu kama vipi nikutumie namba yangu WhatsApp uniwekee maana hata hiki sichoki kukirudia hasa namna alivyomua yule dada Grace pamoja na kwamba alimtupia mtoni akakwama kwenye miti na kuokolewa na wanazengo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
 
Back
Top Bottom