Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?
 
Atakuwa ni Nabii Elia ameridi maana na yeye alitibu ukoma kwa kuzama tuu majini
 
Jamani mimi mpaka sasa siamini kuhusu huyo mganga,
maana nakumbuka mwaka jana uliibuka uvumi kwamba dawa ya UKIMWI imepatikana,baadhi ya vyombo vya habari vilitangaza habari hiyo,.waziri mmoja alinukuliwa na vyombo vya habari akisema "tunamshukuru Mungu dawa ya Ukimwi kupatikana"
Lakini baadae ikagundulika hakuna dawa ya ukimwi bali ni dawa ya kusaidia kinga ya mwili kupambana na ukimwi,
sasa huyu wa loliondo tunasubiri matokeo.
 
babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?

why nguvu za giza?...kama ni nguvu za mwanga je?...maana kama gizani mambo yanatendeka basi pia kwenye mwanga yanatendeka mengi zaidi
 
leo ubungo mabasi ya kwenda arusha yalikua hayashikiki watu wengi sana kumbe wana maradhi sugu!mungu aweke baraka wapone watu wote
 
Mti huo haukauki hayo majani ya dawa au vipi na ukame wote huu?

Majani hayo yanayongólewa kwa spidi hiyo hakuna mti utakaosurvive.
 
kama nikweli serikali inangoja nn wakamsapoti mana anamanufaa sana kwa taifa na dunia
 

mkuu najua ww rahisi kupata info ebu 2juze zaidi mkuu
 

PJ penye wengi hapakosi mengi. Juzi alhamisi gari moja lilikuwa linarudi nyuma na kumgonga mtoto mdogo na kufa papo hapo. Jana ijumaa mgonjwa mmoja aliyekuwa amezidiwa sana alikufa kabla ya kuonana na Mchungaji. Penye neema kuna maafa pia.
 
Ni kweli ndugu zangu,Mm aunt yangu last week ameenda huko kutibu HIV,Juzi na jana amekwenda hospital yupo safi/negative kabisa.Sharti akipata tena no kupona.
 
Wagonjwa wako wengi humu! Nenda kwa babu ukapate dawa! hii ni ile itokayo baada ya kukoboa mahindi! Inaitwaje vile?
 
imani. Na si ajabu na ni kweli. Kama huamini waulize viongozi wako wa juu serikalini akiwemo pm na presdaa.

Au hata yule kamanda aliyemzawadia hg wake mtoto maana yeye karudi huko kwa mara ya pili kuwaleta ndugu zake.
 
Ni kweli ndugu zangu,Mm aunt yangu last week ameenda huko kutibu HIV,Juzi na jana amekwenda hospital yupo safi/negative kabisa.Sharti akipata tena no kupona.

waaaoow, really!!! seeing is believing, but faith conquers all! wishing all the best to those on their way to the reverend in loliondo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…