Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuu nimekupata,hanipati ng'o nitaendelea kusema na ngoma yangu
Hiyo ndo point muhimu convincing wise.Fikiria, maelfu haya ya watu waliopata ' Kikombe Cha Babu', kama kungekuwa na watu mia tano tu waliopona, basi, tunashindwaje kuwapata watu ishirini miongoni mwao wa kututhibitishia kisayansi, kuwa walikuwa na maradhi hayo sugu kabla na sasa wamepimwa na hawana tena
Maggid, abracadabra kali zaidi ni jinsi Watanzania walivyoweza kudanganyika kiasi cha kumpa mtu kama Kikwete madaraka. Angalau kwa 'Babu' wa Loliondo kuna hiari, tumaini na unafuu hata kama ni wa muda but for now who really really knows !