Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
1. Kodo lyako huelewi chochote, yaani uko km wepa za gari tena jeifong.
2. Kwa vyovyote wewe utakuwa unapumuliwa kisononi.
3. Km sivyo, baisi umekalia kitu kigumu ktkt ya makalio yako kinakufanya uwe kihereherehre
Asee!!!kumbe wakristo hawaamini Magomeni kagera eeeh!!!wanaoamini ni akina nai hao?????huyo ni mkirsto, tena KKT haamini kagera. amekimbili kwa babu. lkn thari yake sasa hiyo. anavimba tumbo. amezidisha marazi
Kwa vyovyote vile hizi ni habari nzuri.
pia
ni wakati wa watafiti makini kujichukulia fursa....kujaribu kuja na kitu more objective!!!
Akawaulize wenzake walioenda watamwambia ;wanaona wivu hospitali zao za kifisadi hazijai?? Na bado, sisi tutaenda kwa babu bwana, 500 tu
Low thinkers utawafahau tu. Chuki zao zipo kila mahali, Hayo ni mawazo yake Rostam, si kila kitu mnakipeleka katika siasa. Mnona tunaambiwa Lowassa nae kapata kikombe na ametoa magari na nauli za kuwapeleka wapiga kura wake kwa babu?
Zaidi ya yote, mbona Kadinari PENGO wa RC, MWINGIRA wa EPHATA, KAKOBE wa FGBF, Askofu MUSHI wa KANISA HALISI LA AFRIKA na Gazeti la ANNUR wote wamemponda Babu? Kakobeamemuita Babu kuwa ni wakala wa Shetani na Mwingira amemlaani Babu!
Si kila kitu ni siasa. Kama hamuwezi kufikiri deeply, hameni JF
Midaktari ya Tanzania inasubiri serikali itoe hela, watakuja wazungu wafanye mambo tutaanza kulalamika tena oooohhh, kitu kitarushwa hewani na wazungu na kujipatia Ujiko...
Hao wamepungukiwa na imani bila shaka kwn Mi nimeshuhudia jamaa ndg waliokuwa hoi bin taaban wakipona.Wakati watanzania wakimiminika kwenda wilayani Loliondo,kwa Babu kupata dawa inayodaiwa kutibu magonjwa sugu, Mbunge wa Igunga (CCM), Rostam Aziz ameibuka na kusema tiba hiyo haina lolote akidai kwamba ndugu zake watano wameitumia lakini hajapona hata mmoja.
... Ndugu zangu wananchi wa Igunga, mimi mjomba wangu Hassan mnamfahamu karibu wote hapa mjini ni mgonjwa wa siku nyingi wa kisukari. Ameshakunywa dawa hiyo lakini mpaka sasa ni mgonjwa kama mnavyomuona sasa hiyo dawa inaponyesha nani?
Mbunge wa igunga,rostam aziz amesema dawa ya mchungaj mwasapile haitibu
source-jamboleo