Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 274
Nimepata taarifa kwamba waliokunywa dawa ya abu wa liliondo sasa wanaanza kuumwa na matumbo. waanza kuvimba. TAYARI Jjamaa, ndugu na marafiki wa karibu wanafanya harakati za kumkimbiza muhimbi ili aangalie nini kimezidi. lkn anavyosmea yeye mwenyewe kwamba maumivu hayo yamekuja baaa ya kunywa dawa hiyo.haya nimeyapata kutoka kwa mmoja wa mtumiaji AMBAE AKIIMWA NA UKIMWI.
Yaani hata baada ya ku-edit bado spelling mistakes zipo kibao, halafu unajiita muhadhiri.......mmmh! kweli wadogo zetu huko vyuoni wana shida.......naona na wewe pia unahitaji kikombe cha babu vilevile!