Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni Mkubwa na kweli ni maajabu. Jamaa zangu wengi tu waliougua sukari zaidi ya miaka hata kumi wamepona . Waliosahau lager wengine jana tulikuwa nao maeneo ya Mbauda tukipata ulabu na kusakakata rumba ile mbaua. Huweiz amini
Mkuu, kwa hali iliyopo huku Arusha tumeona isiwe jambo la kusimuliwa...I wish ningekuwa Mkazi wa Arusha, I wish you all the best
Du...hiyo kali !Safari Njema Kaka mfike salama na kurudi.
Ila kitu kimoja bebeni chagula na maji ya kutosha sasa hivi kuna watu wengi na ina weza ikawabidi kusubiri siku hata mbili. Na kitu kingine Babu hafanyi kazi Jumapili.
Tulete matokeo mkirudi...
Aksante sana Husninyo!Kila la heri.
PM zimeanza kuflow kwa kasi...
Nina mashaka huenda tukalazimika kutafuta Long-base ya pili!...how good!
SaharaVoice, kaa mkao wa kuongea tena na huyo jamaa!
U will miss every bit of it!Ningeungana nanyi ila nipo duty fulani kesho hapo Mirerani... anyway Kila la heri JF Arusha Wing!!!