Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?
labda anaogopa asiibiwe maujanja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
babu anasema mtu mwingine akichuma au chimba huo mzizi wa dawa hawezi pona mpaka achimbe yeye....sasa swali je?, kuna nguvu za giza?
Naomba kujibiwa swala hili kwa mwenye ufahamu tafadhali. Huyo babu mnasema ni mchungaji/askofu and the like. Na kuwa imani ndio inaponya. Je watu wa dini zingine eg waislamu nao wanaenda? Je wanaoenda nao wanapona wakibaki na imani ya dini zao? Msaada tafadhali
mkuu ... sawa sawa .... unatumia imani yako inayokufanya umjue mungu .... yaani dini ya aina yeyote wanakwenda
Everything is possible! that guy have prove that!
Huko Loliondo kuna maelfu ya watu, hakuna choo,maji,hotel, na magonjwa ya mlipuko yakitokea itakuwa janga la Taifa.
Kwa nini serikali ipo kimya ikasaidia kuweka utaratibu?
Msalaba mwekundu waende huko ili watoe huduma