Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 271
tuulizie kama anatoa dawa za mapenzi/mahusiano kuna wanajf wanataabika na mwaswali yasiokuwa na majibu coa huyo ndio babu wa ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anagawa majini
First Lady inasemekana alikuwa huko jana.
Mmh sijui lakini hata wana wa Israel waliambiwa kutazama nyota wa shaba aliyetundikwa juu ya mti wote waliotizama walipona na wote ambao hawakutizama walikufa. Bali njia nyembaba iendayo uzimani na njia pana iendayo upotevuni.Sina wasiwasi na miujiza ya huyu Bwana , lakini nina mashaka na "mungu" anayefanya kazi kwa staili hii. Kwa ujuzi wangu mungu wa namna hii ni yulee mwenye kujipendekeza, wa biashara, mwenye lengo la kuwavuta watu kwake hadi wakamsahau yule mwingine aishie katika ukimya na ukamilifu.
Shetani ana uwezo wote wa yanayofanyika hapo na kwenye baadhi ya "makanisa" yanayojiita ya kiroho ambayo "miujiza" ndiyo chambo cha kuwavuta waumini wanaowatajirisha wajanja wanayoyaasisi!
Muulize kama babu anatibu macho niache kuvaa miwani.
inawezekana alienda kumchukulia dawa mzee, si nasikia mchungaji anatibu magonjwa yote!
hakupi anakuazimisha tuuAnagawa majini[/QUOTE
AMEKUPA MANGAPI?
Alinigawia la kutoachika ila nikala kibuti simwamini tena huyo jamaaamekugawia mangapi?
Mhhh safari njem amwaya!!!Utuambie uponyaji ukikutembelea!!!
hakupi anakuazimisha tuu
bure kwa pesa na kiais gani
Alinigawia la kutoachika ila nikala kibuti simwamini tena huyo jamaa
Kwani shehe yahya anatoa huduma ipi? Mhh mbona kwake hakuna foleni?
wakuu hizi habari ni kweli kabisa no joke.....i know mtu wa karibu kaenda kule na kapona ugonjwa mmoja wapo......mganga hataki zaidi ya 500 na huo mti dawa upo kila mahali ila lazima akupe yeye hayo ndio niliosikia ila its true kabisa....uliza watu wa arushab watakuambia ongezeko la magari mjini hapo
Du, bora jamani. Tumechoka kutembea na condomT
Mimi naomba kuuliza huyu mganga anatibu nini maana sielewi? Kuna watu wowote wametoa ushuhuda na tiba yake au ni basi watu kujipanga. Kazi ipo kweli kweli huu mwaka ni mwaka wa matukio
Kwanza jina lako linadhihilisha wewe uko hoi, pili nina hakika wewe huna imani na ulimwengu unao ishi. Ukiambiwa hiki ni kivuli chako pia utakataa!!!!!! Sasa waulize watu lukuki waliokwenda Loliondo na mpaka sasa wanakwenda je wanapona????????? Ndg yangu watu wamejaa huko si Waarabu, Wahindi, Wazungu, matajiri ndo usiseme, PM ALIKUWA HUKO, Mkuu wa Boma kaisharudi toka huko. Sijui nikwambie vipi???????? Hayo ni maajabu ya Mungu, ni imani yako tuu. Mwamini Mungu yote yawezekana !!!!!!!!